southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
nimekaa sana pale stand ya ferry but sikubaatika kunuonaLeo nmemuona sajini wa polisi Ferry pale wale wa Kigamboni hamjamuona yule yupo Full peke beji kibao ana mbwembwe unaa mwingi
Kesho unaweza muona sjui atakuepo ila alipendeza sana anaonekana mtu wa morale sana anafurahisha ukimuonanimekaa sana pale stand ya ferry but sikubaatika kunuona
Sifa unaa babaUnaaa mwingi ndio mzuri
Vipi jamaa wa Chamwino?
Daaah jamaa wa ikulu ndio anaonekana leo aseeVipi jamaa wa Chamwino?
Anaenda zimamoto huyoTayari jamaa wa ikulu uhakika anao
Daaaah na hasemi aseeAnaenda zimamoto huyo
ZIMAMOTO wamesharipoti kambini Kwa kozi Yao since 1-3 February hapa Bado PT, UT & MTAnaenda zimamoto huyo
Sasa si bora ww mkuu mpaka mwezi wa 4 huko....yaani hapa me navyokuambia nishavuka kitamboMimi mwenywe mwez wa 4 nakua nimevuka tayari miaka 25....
Duuuuh kumbeZIMAMOTO wamesharipoti kambini Kwa kozi Yao since 1-3 February hapa Bado PT, UT & MT
Kuna mwanangu mmoja yupo MT alinipa ronja alisema yy kwenye wilaya yao walipiga usaili watu 7 tu na kulikuwa na kambi ya j.k.t, muhuni alizidi 25 lkn ilikuwa kama bahati tu maana ilikuwa op ya nyuma........Mimi mwenywe mwez wa 4 nakua nimevuka tayari miaka 25....
Wilaya ambazo hazina watu wengi ndio vzuriKuna mwanangu mmoja yupo MT alinipa ronja alisema yy kwenye wilaya yao walipiga usaili watu 7 tu na kulikuwa na kambi ya j.k.t, muhuni alizidi 25 lkn ilikuwa kama bahati tu maana ilikuwa op ya nyuma........
Ulituma wapi mkuuNilituma maombi nasubiri kuitwa usahili tu