Evans Richard Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 366
- 759
Unatumia cheti Cha form 4 usizidi 25 years na ukitumia Cha form6 usizidi 28 years and Degree/diploma/certificate usizidi 30 yearsDuhh wakuu hiv UT unaweza kupita kwa kutumia cheti cha form 6 na huna ujuzi wowot ukitoa hiko cheti
Kwa hio form 6 mwsho miak 27 na degree mwsho 29Unatumia cheti Cha form 4 usizidi 25 years na ukitumia Cha form6 usizidi 28 years and Degree/diploma/certificate usizidi 30 years
Ukiambiwa usizidi 28 Maanake ni 28 kushuka chini na sio 27Kwa hio form 6 mwsho miak 27 na degree mwsho 29
Soma maelekezo ya umri niliyokupa hapo juu.Kwa hio form 6 mwsho miak 27 na degree mwsho 29
Huyo bakabaka inamuhusuNamsubiri MrBanks kama amepata nafaso
[emoji23][emoji23] sijui itakuwa lini hii...!!Hapo PT kaeni mkao wa kula...
sijui utakuwaje[emoji23][emoji23] sijui itakuwa lini hii...!!
Balaa...!!![emoji23][emoji23][emoji23]sijui utakuwaje
Siku yako ikifika imefika tu hata wawe 5 utaona jina lako hata hao wenye banga wakapata ni vile siku yao imefika sio banga zote zinakubali sio wote wana banga wanaenda hata kama ni wachache siku ikifika utakuwepo tuMhh bila mbanga kutoboa ni ngumu sana, probability ya kupata approximately zero
Kwelii kabsa kamandaHapo PT kaeni mkao wa kula...
Ni kweli lkn panapo uhalisia inabidi tukubali bahati inakuwa imeporwaSiku yako ikifika imefika tu hata wawe 5 utaona jina lako hata hao wenye banga wakapata ni vile siku yao imefika sio banga zote zinakubali sio wote wana banga wanaenda hata kama ni wachache siku ikifika utakuwepo tu
"Your God's love is not unconditional. He does not love us. And He does not love you."
Or he love us and he love you too "
Ukienda lima tustuane nije huko mkuumbanga yangu imekodoa macho balaa bdo haiamini, coz imedai mpaka dakika ya 95 ilikua inaongoza mechi, nimechomolewa jina mwishoni. wazee nikishindwa kutoboa wizara itabidi nirudi manyoni kulima
Broh be strong tu hamna namna,maisha magumu sana ila mungu atatusaidia,sema tutafute hata vibarua vya ulinzi na vidogo dogo vingine ili tusikimbiwe na wachumbadepression,rejection majobless inatutafuna sana,hpa tunapeana mioyo bt uhalisia huku street haloo. ukicheki home hapako freshi ,mahusiano yanasua sua . kukimbiwa kumefika sasaa
Alafu mtu anasema utegemee bahati nawachoraga hawa motivational speakerKwa hio chief hata ukiwa na mbanga hutoboi hii
hahaa pamoja luteniUkienda lima tustuane nije huko mkuu
mahusiano mwanangu yanafifia balaa. mbanga yangu iko real imemaindi balaa bdo haiamini amini kuwa sikuhiz anaweza toa oda asisikilizweBroh be strong tu hamna namna,maisha magumu sana ila mungu atatusaidia,sema tutafute hata vibarua vya ulinzi na vidogo dogo vingine ili tusikimbiwe na wachumba
Tunapitia situation Moja,Tusichague kazi ili tupate pa kujishikizia huku tukiendelea kutafuta pakubwamahusiano mwanangu yanafifia balaa. mbanga yangu iko real imemaindi balaa bdo haiamini amini kuwa sikuhiz anaweza toa oda asisikilizwe