SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 418
- 906
mm ndio mfwende mkuu, nimechomolewa wazee nimekili nilikua na koneksheni nene ila imestafu. 4days before ikanambia imeua now nikuomba MUNGU tu. haloo leo morning nilivoipa ujumbe kuwa simo imewaka balaa kuwa imekuaje wakati ilihakiki mkeka kabla haujatoka?? ila tuwe wa kweli hawa jamaa wa ng'ambo yapili akina makame na mbaruku wananguvu sna UT kwasasa.nawaombea kheri mfanikiwe mnaosubiri pdf za PT,Pccb na MT na wale waliojiunga na UT. mm majeshi nimegive up now nasubri nguvu za MUNGU mikeka niliyopiga utumishi itiki.@mfwende unaitwa hukuu
Dahh so sadmm ndio mfwende mkuu, nimechomolewa wazee nimekili nilikua na koneksheni nene ila imestafu. 4days before ikanambia imeua now nikuomba MUNGU tu. haloo leo morning nilivoipa ujumbe kuwa simo imewaka balaa kuwa imekuaje wakati ilihakiki mkeka kabla haujatoka?? ila tuwe wa kweli hawa jamaa wa ng'ambo yapili akina makame na mbaruku wananguvu sna UT kwasasa.nawaombea kheri mfanikiwe mnaosubiri pdf za PT,Pccb na MT na wale waliojiunga na UT. mm majeshi nimegive up now nasubri nguvu za MUNGU mikeka niliyopiga utumishi itiki.
Duuuuuh ! Pole sana Mwanangu nilikuwa nakuombea utoboe, basi siyo Riziki hiyo. [emoji17][emoji17][emoji18]. Subiria mkeka wa PT.mm ndio mfwende mkuu, nimechomolewa wazee nimekili nilikua na koneksheni nene ila imestafu. 4days before ikanambia imeua now nikuomba MUNGU tu. haloo leo morning nilivoipa ujumbe kuwa simo imewaka balaa kuwa imekuaje wakati ilihakiki mkeka kabla haujatoka?? ila tuwe wa kweli hawa jamaa wa ng'ambo yapili akina makame na mbaruku wananguvu sna UT kwasasa.nawaombea kheri mfanikiwe mnaosubiri pdf za PT,Pccb na MT na wale waliojiunga na UT. mm majeshi nimegive up now nasubri nguvu za MUNGU mikeka niliyopiga utumishi itiki.
Chief cjaelewa kwa hio ukiwa na cheti cha form.6 bila ya fani unahesabika kam form. 4Soma maelekezo ya umri niliyokupa hapo juu.
Ila Form 4& Form 6 wote mnakuwa kwenye scale Moja ya Mshahara ndio maana kwenye maombi hawahitaji level ya form 6 coz hauna taaluma/ujuzi wowote so upo sawa na form4, wengine wenye ujuzi wanatuma maombi Moja Kwa Moja Makao makuu Dodoma.
Yah ndoivoChief cjaelewa kwa hio ukiwa na cheti cha form.6 bila ya fani unahesabika kam form. 4
Yaan UT na PCCB siyo sehemu zakuweka hope hata cku Moja... Ni sehemu ngumu sana Kwa ambae Hana mtu Tena cyo mtu tu Bali mtu haswaaaaa...usiwaze ipo sehemu imepangwa utaenda kamanda na kama hujapangiwa majeshi bac Kuna Mahali pakutoboa umepangiwa... Binafsi disappointment kama izo kwasasa naonaga kama jambo la kawaida Ila kipindi Cha nyuma zilikuwa zinanipa stress sana...mm ndio mfwende mkuu, nimechomolewa wazee nimekili nilikua na koneksheni nene ila imestafu. 4days before ikanambia imeua now nikuomba MUNGU tu. haloo leo morning nilivoipa ujumbe kuwa simo imewaka balaa kuwa imekuaje wakati ilihakiki mkeka kabla haujatoka?? ila tuwe wa kweli hawa jamaa wa ng'ambo yapili akina makame na mbaruku wananguvu sna UT kwasasa.nawaombea kheri mfanikiwe mnaosubiri pdf za PT,Pccb na MT na wale waliojiunga na UT. mm majeshi nimegive up now nasubri nguvu za MUNGU mikeka niliyopiga utumishi itiki.
pamoja luteniYaan UT na PCCB siyo sehemu zakuweka hope hata cku Moja... Ni sehemu ngumu sana Kwa ambae Hana mtu Tena cyo mtu tu Bali mtu haswaaaaa...usiwaze ipo sehemu imepangwa utaenda kamanda na kama hujapangiwa majeshi bac Kuna Mahali pakutoboa umepangiwa... Binafsi disappointment kama izo kwasasa naonaga kama jambo la kawaida Ila kipindi Cha nyuma zilikuwa zinanipa stress sana...
Japo ni mengi tunapitia mda ukifika Nita share experience ya vikwazo labda tutajifunza Kwa namna Moja au nyengine...
Mkuu inategemea na sehemu . Mm kuna sehemu waliniita nijitolee ila nilipofika pale baada ya interview wakanipa full mkataba wa kazi najishikiza huku nikisubiri kwingine kutiki. Ila sehemu ya internship inategemea ni wapi...wengine wanakunyonya ila wengine wanakupa pesa nzuriKazi za kuajiriwa ni changamoto sana, ni vile tu Sina namna ndo maana napambana nazo lakini very soon ntaachana nazo niangalie kufanya shughuli binafsi. Kuna jinga Moja linanambia nita fute internship, Mungu amsamehe
Pole sana kaka..haya majeshi changamoto sana kuingia kwa sisi wasomimm ndio mfwende mkuu, nimechomolewa wazee nimekili nilikua na koneksheni nene ila imestafu. 4days before ikanambia imeua now nikuomba MUNGU tu. haloo leo morning nilivoipa ujumbe kuwa simo imewaka balaa kuwa imekuaje wakati ilihakiki mkeka kabla haujatoka?? ila tuwe wa kweli hawa jamaa wa ng'ambo yapili akina makame na mbaruku wananguvu sna UT kwasasa.nawaombea kheri mfanikiwe mnaosubiri pdf za PT,Pccb na MT na wale waliojiunga na UT. mm majeshi nimegive up now nasubri nguvu za MUNGU mikeka niliyopiga utumishi itiki.
pamoja afsaPole sana kaka..haya majeshi changamoto sana kuingia kwa sisi wasomi
Noma mzeeSasa vijana sijui tukafanye kazi gani Asee ..kila kipengele kinakua kizito
Kazi za kuajiriwa ni changamoto sana, ni vile tu Sina namna ndo maana napambana nazo lakini very soon ntaachana nazo niangalie kufanya shughuli binafsi. Kuna jinga Moja linanambia nita fute internship, Mungu amsamehe
Majeshi miyeyusho sana , wanajibaraguza tu ,hizo nafasi wanaziuza , mimi kuna mtu yuko huko pwani ,ndio nyumbani kwao aliniambia mwezi kama. Mmoja na nusu umepita sasa kwamba kuna watu wanatembeza si chini ya milioni mbili na nusu humo JWTZ kuhonga ili kupata nafasi ,na yenyewe ni bahati ,unaweza toa na kudhulumiwa vile vile ,tangia hapo nikaamini ,kuwa kuna Magumashi mengi sana humo atleast magereza maana watu wengi hawapapendi.Jw nimeambiwa wanakuja ila kwa uraiani watachukua wengi mafundi wenye vyet vya ufundi na udereva