Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Leo vijana wa 844kj op samia waliochaguliwa kwenda kuripoti msata wapo Mbeya mjini wananunua mahitaji yao!!
Kuna kitu najaribu kukiwaza halafu nashindwa kupata majibu!!!

Watu wanaripoti kesho ....Duuh, sielewi elewi...!!
 
Leo vijana wa 844kj op samia waliochaguliwa kwenda kuripoti msata wapo Mbeya mjini wananunua mahitaji yao!!
Kuna kitu najaribu kukiwaza halafu nashindwa kupata majibu!!!

Watu wanaripoti kesho ....Duuh, sielewi elewi...!!
Hv serious au hahahahahahaha
 
Nitumie mbinu zilezile kufanikisha mipango yangu .......

[emoji2089][emoji2089]kwa jamaa wa ikuru tuyajenge
 
Habari zenu,


Wiki tatu zilizopita niliibiwa simu yangu aina ya Vivo. Nimefata procedures zote polisi lakini danadana zimekuwa nyingi mpaka leo hii pia nimejaribu kwa kampuni husika nao vilevile.

So nimekuja hapa kuomba msaada wenu kwa anaeweza kunisaidia kuipata simu yangu ama kunipa mbinu zengine itakuwa vizuri pia. Nina documents zote kuhusu simu iliyoibiwa.

Naomba kuwasilisha;
 
Samahani mkuu hawa vijana walifunga mafunzo kuazia juzi inawahusu hii?
HAPANA NIMEAMBIWA WAO NDO KWANZA WAMEAPA, NI LAZIMA WAWE WAMEKAA MIAKA MIWILI JKT NA MKATABA UKAISHA UKAPEWA NA CHETI NDO INAWAHUSU.
NA HII WANATAKA WALE HASA WALIORUDISHWA MAJUMBANI NDIYO MAANA KWA WALIO MAKAMBINI HILI TANGAZO HALIWAHUSU.
 
Kama hata wamiliki wa kampuni ya simu hawana ushirikiano au wameshindwa achana nayo...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Leo vijana wa 844kj op samia waliochaguliwa kwenda kuripoti msata wapo Mbeya mjini wananunua mahitaji yao!!
Kuna kitu najaribu kukiwaza halafu nashindwa kupata majibu!!!

Watu wanaripoti kesho ....Duuh, sielewi elewi...!!
Safari za kijeshi hasa zinazohusu kozi husafiri kuanzia saa 10,Inshort safari huwa za ucku.
Waliokuwa Moro jkt wameanza safar saa 12 jioni.
 
HAPANA NIMEAMBIWA WAO NDO KWANZA WAMEAPA, NI LAZIMA WAWE WAMEKAA MIAKA MIWILI JKT NA MKATABA UKAISHA UKAPEWA NA CHETI NDO INAWAHUSU.
NA HII WANATAKA WALE HASA WALIORUDISHWA MAJUMBANI NDIYO MAANA KWA WALIO MAKAMBINI HILI TANGAZO HALIWAHUSU.
Mkuu naona umeandika kwa herufi kubwa kutia msisitizo[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo waliopo kwenye Target ni wale Op Uchumi wa kati ambao walimaliza mikataba ila walikosa ajira before the Death of The Hon. JPM serikali ikapata kashfa nyingi za kuwaita waasi then baadaye wakarudishwa makambini na Op ikapewa jina makao Dodoma. Kama una cheti cha jkt chenye hiyo sifa kopa hapa pesa nenda Dodoma utakuja kunishukuru..Done!📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…