Mkali Marley
Member
- May 7, 2023
- 83
- 115
zile walzo toboa mkataba sijui zimefikia wapiLonja za jw zinasemaje wanazengo?
ndio hizohizo soon wanaanza kupiga simu24/5/2023 Usahili vikosi vya jkt unaanza
TISSWakina nani hawa wanaosemaga hivi kiongozi
NIDHAMU MBOVU AISEEE!!Mak@lio yako si ujiingize mwenyewe.
Vishoka mmekuwa wengi sana kwenye huu uzi wetu.
Nikweli kuna watu hawajui kuwa huu mtandao unatumiwa nawatu wengi hata wakuu wanchi,tunachotakiwa tuwe nanidhamu natuchunge kauli zetu.NIDHAMU MBOVU AISEEE!!
JIFUNZE KUTUMIA KAULI NZURI, ITAKUSAIDIA SIKU MOJA.
sawaTISS
Ndio ipo lkn very narrowMzee bahat ipo mzee, jamaa zangu 2 wameingia RUWASA juzi hapa bila connction yyte
MT wanatoa majina JW ndio hupiga simu tuuWakuu MT watapiga simu au
Ukizeekea mtaani na ukajikuta bado huna mishe ya kueleweka ndio utaelewa kuwa maisha sio majeshi peke yake....wewe unataka kuingia...wengine wanatoka. Acha kutegemea kitu kimoja unless kama bado unalishwa kutoka nyumbani.Haya majeshi yatanikondesha mwenzenu! Nipo tayari hata kurudia kozi jkt mwenzenu hata wakisema jitolee miaka 4 nipo tayari
Kama huna mtu wa kukushika mkono kukutoa huko jkt kukupeleka kwenye Ajira tafadhari usiende kujitolea utarudi mtaani tu mwisho wa siku huku ukiwa umepoteza dira ya maishaHaya majeshi yatanikondesha mwenzenu! Nipo tayari hata kurudia kozi jkt mwenzenu hata wakisema jitolee miaka 4 nipo tayari
daah UT wamenikata mdomo chama langu, ila graduates kujiunga na haya majeshi uwe na kismart na maelekezo makubwa kutoka juu. vp una access na mzee wa pale raphael kubaga ? mwambie akusaidie japo mkono mtupu haulambwi. unajua bado nawaza sana ni mtu ambaye anaheshimiana sana na mbanga yangu ,ila kwa lile genge nae alikua mtazamaji tu champ, jitahidi ufungue ajira portal pia upambane na utumishi, mtafutaji ni mwiko kukomalia upande mmoja, jitahidi ujiajri na kamishe kokote ama fanya hata ulinzi huku ukisikizia mambo mengine yaseto.Kaka mfwende sawadogo kimya sana.rafiki yangu nakukubali kwa lonja ebu tuletee lonja.
Sawa rafiki ushauri mzuri sana,ila vipi huyo mbanga wako analonja gani kuhusu UT adi sasa na vipi magereza uliombadaah UT wamenikata mdomo chama langu, ila graduates kujiunga na haya majeshi uwe na kismart na maelekezo makubwa kutoka juu. vp una access na mzee wa pale raphael kubaga ? mwambie akusaidie japo mkono mtupu haulambwi. unajua bado nawaza sana ni mtu ambaye anaheshimiana sana na mbanga yangu ,ila kwa lile genge nae alikua mtazamaji tu champ, jitahidi ufungue ajira portal pia upambane na utumishi, mtafutaji ni mwiko kukomalia upande mmoja, jitahidi ujiajri na kamishe kokote ama fanya hata ulinzi huku ukisikizia mambo mengine yaseto.
Ndugu nikikuonaga comments zako namkumbuka na kunguru wa manzesedaah UT wamenikata mdomo chama langu, ila graduates kujiunga na haya majeshi uwe na kismart na maelekezo makubwa kutoka juu. vp una access na mzee wa pale raphael kubaga ? mwambie akusaidie japo mkono mtupu haulambwi. unajua bado nawaza sana ni mtu ambaye anaheshimiana sana na mbanga yangu ,ila kwa lile genge nae alikua mtazamaji tu champ, jitahidi ufungue ajira portal pia upambane na utumishi, mtafutaji ni mwiko kukomalia upande mmoja, jitahidi ujiajri na kamishe kokote ama fanya hata ulinzi huku ukisikizia mambo mengine yaseto.