Atamchoma Hadi mjomba ake kwa utoto wakeKaweka na jina la mjomba wake kabisa na alichati nae jumamosi picha inaonyesha yani huyu wakimfanyia reconisence wakimpate mjomba wake au yeye watamwagia kwa ndaniβ
AD Luanda ? acha zako mkubwa wangu huyo awez fanya ujinga huoMjomba Luanda..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. A.D Luanda. Charlee Oscar 839
Ulipita hapo au upo hapo??AD Luanda ? acha zako mkubwa wangu huyo awez fanya ujinga huo
Mwanangu Zafrain sag nipe ronja kamanda.Kafeli pakubwa sanaaaa aisee
Mjomba Luanda..ππππ. A.D Luanda. Charlee Oscar 839
Mbona mm siioniMjomba kama mjomba.[emoji28]
Walio na maelekezo wengi wanapelekwa tu kwa sababu kuna tatzo la ajira ila kiuhalisia hawazikubali hizo kaziHuyu hafai kuajiriwa katika taasisi za ulinzi na usalama. Hawezi kutunza siri. Upuuzi huu. Kuna vitu vya kuweka public unless kama umejiandikia tu..lakini still ni show off za kipuuzi.
Vijana kama hao wakiingia vitengo vikubwa usalama wa taifa..wiki moja tu mji mzima unajuaWakuu msimchukulie serious sana kijana.
Nadhani zilikuwa ni show off tu..[emoji28]
Kwa mister Sese[emoji2]Naam makuyuni io ilinijis kichwan[emoji23]canal lwanda
Hawa ndio wale,"Unanijua mimi ni nani?"[emoji28]Vijana kama hao wakiingia vitengo vikubwa usalama wa taifa..wiki moja tu mji mzima unajua
Mkuu hata mimi mwenyewe sometimes naface na kitu kama hicho.Mbona mm siioni
Inaonesha view attachment tu
Probably ameifutaMkuu hata mimi mwenyewe sometimes naface na kitu kama hicho.
Okay nyepesi nyepesi nilizopitishiwa leo ni kuwa Tarehe 24 may jumatano kuna usaili katika kambi za JkT kibogi cha kwenda monduliMwanangu Zafrain sag nipe ronja kamanda.
[emoji23] [emoji23]Nikajua kumetema nimeona chat nyingi Sana kumbe kuna kiumbe kimeingia maboya
Kapost ujinga gani
Dah ngoja hata nimsalimie mbanga[emoji23]Okay nyepesi nyepesi nilizopitishiwa leo ni kuwa Tarehe 24 may jumatano kuna usaili katika kambi za JkT kibogi cha kwenda monduli