Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Alizingua kuingia kwa mchezo mmoja tu, aliandika soka wakati kazoea chandimu.

Kwenye usaili akakutana na miamba imetoka cambiaso Academy wanapiga boli kama hawana akili nzuri [emoji23]
Dah pole yake asee...Mambo ya Soka watu hukamia Sana Usaili
 

Attachments

Kuwa na subira.

Jana kulikua na mahafali ccp ya wakaguzi wasaidizi wa polisi (2030).

Nadhani wakishatoka wote, intake yenu ndo mtaingia.
Aise namba kubwa sana 2030 ndio MaAna mwaka huu wakaamua Ku recruit juniors na sio educated wataotaka kwenda uafisa
 
Aise namba kubwa sana 2030 ndio MaAna mwaka huu wakaamua Ku recruit juniors na sio educated wataotaka kwenda uafisa
Namba kubwa sana ya maafisa hiyo, tatizo watu walikaa muda sana bila kupanda madaraja, bora hao walivyopanda napo wa chini watapanda mfano Pc kwenda koplo etc
 
Aise namba kubwa sana 2030 ndio MaAna mwaka huu wakaamua Ku recruit juniors na sio educated wataotaka kwenda uafisa
Kati yao mmoja alikua na PhD, wachache post graduate diploma, wachache masters.. Karibia 1700+ ni degree, diploma etc
 
Namba kubwa sana ya maafisa hiyo, tatizo watu walikaa muda sana bila kupanda madaraja, bora hao walivyopanda napo wa chini watapanda mfano Pc kwenda koplo etc
Na hii baada ya mheshimiwa Rais kusema eeeh?
 
Aise namba kubwa sana 2030 ndio MaAna mwaka huu wakaamua Ku recruit juniors na sio educated wataotaka kwenda uafisa
Hii namba imekua kubwa kwa sababu kwa miaka. 5 ya mzee baba watu hawakupanda vyeo so kupanda kwa hao kwenda maofisa pia wangazi za chini nawenyewe wanaenda kupanda pia...hivyo kutabak na ombwe chini ambalo bogi mpya litaenda kufill pia
 
J.3 au J.4 kila kitu kitakua tayari[emoji91][emoji91][emoji91]
Get prepared
 
Wakuu hv ile form ya hospital ya fire naweza kuaattach kwenye majesh mengine kama magereza na uhamiaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…