Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

ratiba ya kawaida sana mungu ajaalie majina yetu yarudi tukapambanie ugali wetu
 
Na kwa wale wa fani wana mazoezi Yao au wote pamoja?
Inakuaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah.

Mbona mdakuwa waoga hivyo??
Wale police mnaowaona balabalani,kama wao wameweza kwanini mshindwe?

Acheni uoga madogo.
 
Wakuu PT mbona wapo kimya sana no PDF mpka sasa!!….mwenye lonja atupe bac wadau
 
Mmmh sio kweli, waliongeza mda mara mbili zaid na watu walifankisha
Kutokana na Malalamiko mengi ya mfumo wao wa online Hizi zinawezwa kufutwa watangaze Upya
 
Wote Shughuli Ni Moja... Kazi Kazi Tu

Japo Kuna Muda Kuna Vitengo Vinakuwepo Kama Wale Waliosomea Afya/Mafundi Pamoja Na Wale Wataobahatika Kufanya Usafi Baadhi Ya Ofisi Na Viongozi Mtakaowachagua
 
Jumla ya majina ya walioitwa kwenye usahili wa Jeshi la Polisi ni 33,998. yaan 40,000 kasoro mtu mbili.
Tanzania ni watu 31,930
Zanzibar ni watu 2,068

alooo shuhuri ni pevu sasa sijui bogi linataka Askari wa ngap hapo usikute panga likapita na zaid ya watu buku thelasin 30...

Dj gonga midundo kuchangamke😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…