Sio kuibiwa pesa tu hata akimla mke wa bosi au binti wa bosi asilaumiwe maana ndio marupurupu yake.Mhasibu unamlipa laki 3,ukiibiwa ulaumu watu?
Nipo kampuni moja mtu ana masters degree analipwa laki 6, degree holders wote wanalipwa laki tano, kwa halia ya sasa ya ajira atapokea maombi ya watu sio chini ya mia mojaSio kuibiwa pesa tu hata akimla mke wa bosi au binti wa bosi asilaumiwe maana ndio marupurupu yake.
Mshahara wa waitress huo kwenye hoteli za kawaida kabisa.
Hali ni mbaya kwa kweliNipo kampuni moja mtu ana masters degree analipwa laki 6, degree holders wote wanalipwa laki tano, kwa halia ya sasa ya ajira atapokea maombi ya watu sio chini ya mia moja
Kampuni gani io mzeeNipo kampuni moja mtu ana masters degree analipwa laki 6, degree holders wote wanalipwa laki tano, kwa halia ya sasa ya ajira atapokea maombi ya watu sio chini ya mia moja
siwezi kuitaja humu, vijana wengi wanakua desparate na kazi wakiambiwa mshahara laki 5 wanakua hawana jinsiKampuni gani io mzee
500k as a gross salary au take homeNipo kampuni moja mtu ana masters degree analipwa laki 6, degree holders wote wanalipwa laki tano, kwa halia ya sasa ya ajira atapokea maombi ya watu sio chini ya mia moja