Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm hilo tangazo nimeliona sehemu nikaona niwaletee sasa shida iko wapi ni nn mbaya???
Mkuu sasa na wewe umejiona umeleta bonge la mchongo kwa wana jf!!? Huu ulioleta hapa ni upuuzi tuSasa nani atapeliwe na ww mbn akili yako fupi sana...
Eidha uelewa wako uko chini sana au na wewe ni miongoni kwa hao matapeli wa hili tangazoMm hilo tangazo nimeliona sehemu nikaona niwaletee sasa shida iko wapi ni nn mbaya???
Hata wewe ndo walewale ulipost habari kuhusu Marekani ku-fund usd 10k kumbe uongo mtupu acheni utapeli hapa JF mnapost trush za uongo uongo nilitokea kukuona huna utu.Tunaishi na wanajamii forum wa level ndogo sana kielimu. Hawa ndio utakuta ukiandika uzi ni wabishi balaa😂😂😂😂😂😂😂😂
UMEliona sehemu Gani mbona hauelezei vizuri?ili watu wakuamini Sasa umelikuta sehemu, sehemu Gani Sasa?fungukaMm hilo tangazo nimeliona sehemu nikaona niwaletee sasa shida iko wapi ni nn mbaya???
Pole sana lile Tangazo mbona liliandikwa tena.Hata wewe ndo walewale ulipost habari kuhusu Marekani ku-fund usd 10k kumbe uongo mtupu acheni utapeli hapa JF mnapost trush za uongo uongo nilitokea kukuona huna utu.
Unauliza shida yako ipo wapi,shida yako ipo hapo juu☝️☝️☝️kwa kujaribu kufanya clarification kwenye vitu vya kitapeli ingekuwa km hujuina uhusiki na tangazi ya kwamba wewe umeliokota tu ungekaa kimya na sio kujaribu kutoa maelekezo kwa kuwahoji watu kama wanajua utaratibu wa kazi za bandari na ukaenda mbali zaidi na kuthibitisha kwamba hizo ni kazi za mudaUnajua uendeshaji wa bandari ukoje lkn???izo ni vibarua kazi za muda.
Mm hilo tangazo nimeliona sehemu nikaona niwaletee sasa shida iko wapi ni nn mbaya???