Nafasi za kazi za muda bandarini

Tunaishi na wanajamii forum wa level ndogo sana kielimu. Hawa ndio utakuta ukiandika uzi ni wabishi balaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mtoa Mada alitaka kutuibia tu hawa matapeli huwezi kuokota matangazo unapost hapa .
 
Tunaishi na wanajamii forum wa level ndogo sana kielimu. Hawa ndio utakuta ukiandika uzi ni wabishi balaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata wewe ndo walewale ulipost habari kuhusu Marekani ku-fund usd 10k kumbe uongo mtupu acheni utapeli hapa JF mnapost trush za uongo uongo nilitokea kukuona huna utu.
 
Mm hilo tangazo nimeliona sehemu nikaona niwaletee sasa shida iko wapi ni nn mbaya???
UMEliona sehemu Gani mbona hauelezei vizuri?ili watu wakuamini Sasa umelikuta sehemu, sehemu Gani Sasa?funguka
 
Unajua uendeshaji wa bandari ukoje lkn???izo ni vibarua kazi za muda.
Unauliza shida yako ipo wapi,shida yako ipo hapo juu☝️☝️☝️kwa kujaribu kufanya clarification kwenye vitu vya kitapeli ingekuwa km hujuina uhusiki na tangazi ya kwamba wewe umeliokota tu ungekaa kimya na sio kujaribu kutoa maelekezo kwa kuwahoji watu kama wanajua utaratibu wa kazi za bandari na ukaenda mbali zaidi na kuthibitisha kwamba hizo ni kazi za muda

Hii inaonyesha wazi kwamba wewe unahusika na utapeli huu
Mm hilo tangazo nimeliona sehemu nikaona niwaletee sasa shida iko wapi ni nn mbaya???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…