Kumbe lile tangazo lilikuwa ka uongo?Hata wewe ndo walewale ulipost habari kuhusu Marekani ku-fund usd 10k kumbe uongo mtupu acheni utapeli hapa JF mnapost trush za uongo uongo nilitokea kukuona huna utu.
Ukifanyiwa hivyo ww ni mjinga basi.Mbaya ni Utapeli aka Weezy weezy.
Watu watatuma email then wanachukua contacts na kuanza kuwapigia watu na kujifanya ni HR wa Suma JKT then wataanza nimeona CV yako toa laki 2 upate kazi na watawapiga watu hasa.
ni kweli kwamba taasisi kama hii haina email za serikali, au ndo kwa sababu ni shirika shikizi la Kijeshi, hapana u need to change... Uhamiaji naona wao wame advance kwa kweli!!
Ukifanyiwa hivyo ww ni mjinga basi.
Uyo jamaa ni askari jeshi mfuatilie tu utajuaKwahiyo Umeshindwa kujiongeza kwa vitu vidogo vidogo?Sasa unavyokomaa na wewe utakuwa unahusika kwenye Utapeli huu!Acheni utapeli wa kirahisi sana huu tumieni hizo akili kwenye biashara na kilimo mtatoboa!
Uyo jamaa ni askari jeshi mfuatilie tu utajua
Ofcourse ni afande ila pia kuhusu Tangazo yeye kafanya ile tunaita sharing is caring mambo mengine hatuwezi kumjudge sababu pia uelewa wa vigezo vya Tangazo la Taasisi kukamilka sio kila mtu anajua.Uyo jamaa ni askari jeshi mfuatilie tu utajua
Ni police kweli
Hilo tangazo hata mm nililiona pale ukutani, niliendaHii kitu ni ajabu lakini si ajabu.
Kwanza mnatakiwa kujua kwamba SUMA JKT imepewa dhamana ya kusimamia issues zote za vibarua ama kazi za muda zinazofanywa Bandarini na siyo TPA yenyewe na hata malipo ya vibarua hao yanapitia SUMA JKT kila siku baada ya masaa ya kazi.
Kazi hizo za muda ni kama;
1. Udereva (hawa ni wale wanaooa magari kwny meli na kuegesha kwny yard maalum za bandari)
2. Kuendesha mitambo (Kama fork lifts)
3. Makarani.
4. Wasio na fani (Hawa ni wale wa usafi wa mazingira ndani ya Bandari n.k)
Pili tangazo hilo limetolewa ukutani kwa kupigwa picha eneo ambalo vibarua huwa wanafanya mishe zao za kushughurikia vibarua eneo la ofisi ya SUMA JKT iliyopo pale TPA baada ya kuona njia ya kupeleka hard copies za vyeti na barua zinaumbua.
Siyo ajabu kwa SUMA JKT kama kampuni inayosimamia vibarua kutumia GMAIL.
Cha msingi na muhimu ni waombaji kutuma maombi yao na attachments.
Umeongea ukweli kabisa, inawezekana wewe ni staff wa mazingira hayo .Hii kitu ni ajabu lakini si ajabu.
Kwanza mnatakiwa kujua kwamba SUMA JKT imepewa dhamana ya kusimamia issues zote za vibarua ama kazi za muda zinazofanywa Bandarini na siyo TPA yenyewe na hata malipo ya vibarua hao yanapitia SUMA JKT kila siku baada ya masaa ya kazi.
Kazi hizo za muda ni kama;
1. Udereva (hawa ni wale wanaooa magari kwny meli na kuegesha kwny yard maalum za bandari)
2. Kuendesha mitambo (Kama fork lifts)
3. Makarani.
4. Wasio na fani (Hawa ni wale wa usafi wa mazingira ndani ya Bandari n.k)
Pili tangazo hilo limetolewa ukutani kwa kupigwa picha eneo ambalo vibarua huwa wanafanya mishe zao za kushughurikia vibarua eneo la ofisi ya SUMA JKT iliyopo pale TPA baada ya kuona njia ya kupeleka hard copies za vyeti na barua zinaumbua.
Siyo ajabu kwa SUMA JKT kama kampuni inayosimamia vibarua kutumia GMAIL.
Cha msingi na muhimu ni waombaji kutuma maombi yao na attachments.
Brother hii nchi Ina vijana ni was€ng€ Sana na Waoga. Hili Tangazo niliposikia nilipenda Moja Kwa Moja Hadi pale bandari na nikaliona lipo kama lilivyo.Hii kitu ni ajabu lakini si ajabu.
Kwanza mnatakiwa kujua kwamba SUMA JKT imepewa dhamana ya kusimamia issues zote za vibarua ama kazi za muda zinazofanywa Bandarini na siyo TPA yenyewe na hata malipo ya vibarua hao yanapitia SUMA JKT kila siku baada ya masaa ya kazi.
Kazi hizo za muda ni kama;
1. Udereva (hawa ni wale wanaooa magari kwny meli na kuegesha kwny yard maalum za bandari)
2. Kuendesha mitambo (Kama fork lifts)
3. Makarani.
4. Wasio na fani (Hawa ni wale wa usafi wa mazingira ndani ya Bandari n.k)
Pili tangazo hilo limetolewa ukutani kwa kupigwa picha eneo ambalo vibarua huwa wanafanya mishe zao za kushughurikia vibarua eneo la ofisi ya SUMA JKT iliyopo pale TPA baada ya kuona njia ya kupeleka hard copies za vyeti na barua zinaumbua.
Siyo ajabu kwa SUMA JKT kama kampuni inayosimamia vibarua kutumia GMAIL.
Cha msingi na muhimu ni waombaji kutuma maombi yao na attachments.
Hili Tangazo nililiona kabla jamaa hajatuma na nilikuwa na mpango wa kutuma mahombi ila nikaona mambo mengi sijui serikali za mtaa halafu Kuna mtu ananifanyia connection moja kwa moja nikakausha ila jamaa mpaka sasa kafeli So Tangazo la kweli hii ishu ya Email kuwa Gmail mpaka leo hata sijui mantiki ni Nini Email si just njia ya kutuma taarifaBrother hii nchi Ina vijana ni was€ng€ Sana na Waoga. Hili Tangazo niliposikia nilipenda Moja Kwa Moja Hadi pale bandari na nikaliona lipo kama lilivyo.
Utashangaa Kuna Kichaa mmoja anatishia Watu eti watatapeliwa.
Na niwaambie Tu uog awenu umeshawakosesha Kazi. Watu waliotuma mwanzo wengi wameitwa na wengine wameshapangiwa wataanza mwezi wa SITA.