Nafasi za kusoma Uturuki (Turkey/Türkye) 2015

Umri wengine umekwenda, vinginevyo ningelikuja kutafuta Bebegim 🙂

Vituruki vimebinuka vizuri tu. Nendeni huko Mkasome na kupakata, kazi na dawa.... heheheee.

Ngoja nijipange nikatembee tu Antalia na kucheza golf huko, pametulia sana na haswa Misosi, si mchezo.

Nguo pia za kumwaga ingawa bei zao hao jamaa, kiboko. Usafiri ni rahisi piakuja Tanzania.

Vipi mambo ya dini? Hakuna kulazimishana kuwa Die Hard wa kidini?

Asante kwa ku-share huu ujumbe wako. Usijali wanaokatisha tamaa na kutukana. Turkiye ipo juu sana kuzidi Tz.

Nendeni mkamtambue NYERERE wa Turkey, Mustafa Kemel ATATURK...



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…