Nafasi za kuteuliwa zinaondoa ufahamu na akili

Uhuru kwa Wateule uliisha Enzi za nyerere, yeye alikuwa akiwadhibiti Wateule na ili kumuenzi ndio ukaona hadi sasa Wateule mfano Majaji na Mahakimu Achana na hao wa majukwaani wanasiasa, bali uhuru wamekosa, ajabu na cha kushangaza ni kuwa wakati watanganyika wanapambana na ukoloni na kuhitaji uhuru Tulikuwa wa moja sasa hawa wabaguzi ndio wanapelekea utwana kwa ndugu zetu (wateule)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…