Nafasi za Masomo Kigoma mjini

Mbona hujaweka picha za majengo ya chuo? Halafu ina maana kozi mnatoa moja tu ya maabara?
 
Mbona hujaweka picha za majengo ya chuo? Halafu ina maana kozi mnatoa moja tu ya maabara?
Karibu ndugu, Tunatoa kozi ya Wizara ya Afya ambayo ni ya maabara kwa ngazi ya Certificate na Diploma na pia tunatoa Kozi ya VETA ya Laboratory Assistants kwa ngazi ya Certificate. Ila kwa sasa dirisha la kozi ya Wizara limefungwa imebakia hiyo ya VETA ambayo intake yake ni ya Januari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…