Najua leo hii wengi wanapata utulivi baada ya kuona Sabaya akipandishwa kizimbani. Naiona hii haitoshi kwa sababu hatujaona mbele hukumu itakuwaje. Huenda itaibua mapya mengi na mengine yakiwahusu hao waliomtuhumu.
Shida yangu ni ubora duni wa wanaoteuliwa kushika nafasi hizo. Tatizo ni Serikali yetu kuifanya nafasi hiyo ya kujifunzia uongozi. Kwa nini tunateua watoto tunaowaita vijana wa CCM na kuwaweka kwenye nafasi nyeti kiasi hiki? Nafasi hizi za Wakuu wa Wilaya pamoja na wakurugenzi, ziliheshimika sana, tangu mkoloni, enzi ya kikwete nafasi hizo zikawa ni kujaribia uongozi.
Unawezaje kutoka chuo unapewa kuwa Mkuu wa Wilaya? Ally Hapi, Makonda, Jokate, n.k Waangalie matendo yao kwa Wananchi. Baadaye tunawasifu kwa shule moja tu ikijengwa wilayani. Ni shiiiida
Shida yangu ni ubora duni wa wanaoteuliwa kushika nafasi hizo. Tatizo ni Serikali yetu kuifanya nafasi hiyo ya kujifunzia uongozi. Kwa nini tunateua watoto tunaowaita vijana wa CCM na kuwaweka kwenye nafasi nyeti kiasi hiki? Nafasi hizi za Wakuu wa Wilaya pamoja na wakurugenzi, ziliheshimika sana, tangu mkoloni, enzi ya kikwete nafasi hizo zikawa ni kujaribia uongozi.
Unawezaje kutoka chuo unapewa kuwa Mkuu wa Wilaya? Ally Hapi, Makonda, Jokate, n.k Waangalie matendo yao kwa Wananchi. Baadaye tunawasifu kwa shule moja tu ikijengwa wilayani. Ni shiiiida