rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Vipi hao waliouawa hawakuvaa vest za UN, ingekuwa miaka 15 iliyopita ningejitosa . Ni kazi ya risk Ila Ina malipo makubwa Sana.Usijari bro, utavaa vest ya UN so makombora yatakuwa yanakukwepa na kwenda kuhit maeneo mengine🤣🤣
Ngoja nijaribuMishara huko ni minono mno. Pesa ya mshahara wako unayokusanya mwaka mzima huko unaipata ndani ya miezi mitatu tu!
Nenda wewe acha uoga [emoji1787]Hatari sana siendi hata nikipewa billion moja
Hahaha waarabu wajinga sana, hawaangalii huyu hausiki au anahusika na conflict yao, Wanachoangalia ni kuona as many as dead bodies spread on the ground they could make.😩Vipi hao waliouawa hawakuvaa vest za UN, ingekuwa miaka 15 iliyopita ningejitosa . Ni kazi ya risk Ila Ina malipo makubwa Sana.
Bonge la shavu hili mtu wangu, ningekuwa sina ajira ningeshaapply🤣🙌Tena sasa hivi kwa hali ilivyo hakuna hata interview. Yani wewe ukiapply jua ushakula shavu
Mwenzetu ushatuma maombi nini?😄Uwoga wao ndio adui (umaskini wako)
Kufa utakufaa tuu hata kwakuumwa na mende
Ila hakuna kulala, ni mwendo wa milio ya rockets za Hamas na air strikes za ndege za IDF. Kama ulishapitia 6 weeks hakuna shida🤣🤣Mishara huko ni minono mno. Pesa ya mshahara wako unayokusanya mwaka mzima huko unaipata ndani ya miezi mitatu tu!
Dunia ni moja ila kilamtu na mtazomo wakeDeath opportunities
Salary ni shingapi mkuuHaya hayaa wabongo tunalialia hakuna ajira na mtaani wasomi wamejaa.[emoji1][emoji1]
Nafasi hizo with abundant salaries kutoka UN, tushindwe wenyewe[emoji1787][emoji119]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Fursa hizi ilibidi wapelekwe wazee waliokataa kuachia ofisi vijana wapate ajira Pmbavuu
Duh unazani kule kuna fisiemu kwamba. kula kw urefu wa kambanasikia mshahara kwa pesa za kibongo ni milioni 7 kwa mwezi
bonus ni laki 1 kwa siku
Tutakutana kazini ukanda wa Gaza mkuu😊Ndio namalizia ku- update CV hapa
Au sio 🤣😂😂😂, over ma dead bodyUsijari bro, utavaa vest ya UN so makombora yatakuwa yanakukwepa na kwenda kuhit maeneo mengine🤣🤣
Wajaze wehu, Waka pasuke🤣😂😂Tutakutana kazini ukanda wa Gaza mkuu😊
Bonge la shavu hili mtu wangu, ningekuwa sina ajira ningeshaapply🤣🙌
Akili kumkichwa🤣😂, we muige huyu bwege uka jikute peke ako🤣🤣.Tutakutana kazini ukanda wa Gaza mkuu😊
🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃Akili kumkichwa🤣😂, we muige huyu bwege uka jikute peke ako🤣🤣.
👉UTA zungumza ki arabu na kiyahudiat the same time🤣.
Cc mshamba_hachekwi, Poor Brain