Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Ma bro mna tujaza wadogo zenu ujinga😂🤣🤣🤣, Eti never be afraid of anything 😂.🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃
👉Akati ye ana kula kiyoyozi🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma bro mna tujaza wadogo zenu ujinga😂🤣🤣🤣, Eti never be afraid of anything 😂.🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃
Tusiwakatishe tamaa wasaka ajira mkuu🤣🤣Au sio 🤣😂😂😂, over ma dead body
Nilipoangalia salary numeration ya UN hapa nakashawishika kutuma maombi, sema umeme nao unazingua maana niko hatua ya mwisho Ku update CV, wakijibu tu napiga chini hii kazi ya sasa😄😜Ma bro mna tujaza wadogo zenu ujinga😂🤣🤣🤣, Eti never be afraid of anything 😂.
👉Akati ye ana kula kiyoyozi🤣😂
Wewe kima pamoja na Maghayo na genge lake mnafurahia mauaji ya binadamu wenzenu wakiwemo na watoto na wengine wasio na hatia na unaona sawa .Tusubiri kwanza Israel itembeze kichapo, ukijipeleka kwa njaa zako na wewe humo humo utaliwa, sasa hivi wakimbizi wamefika 250,000 inatakiwa Misri iwahurumie na kufungua mpaka wakimbilie huko, si ni Waarabu wao na wote dini moja?
Haha bro acha kucheza na waarabu Kivu na Goma zote ni za Peace Keeping Mission (NUMESCO) tukiondoa Ile ya kuwafurumusha M-23 miaka ya 2013 led by FIB ikiongozwa na TPDF kama sijasahau.Hii kama kwenda Kivu ,east congo
Hahahaha,wanaweza kukupa u black America ili risasi zijae kifuani vzrHaha bro acha kucheza na waarabu Kivu na Goma zote ni za Peace Keeping Mission (NUMESCO) tukiondoa Ile ya kuwafurumusha M-23 miaka ya 2013 led by FIB ikiongozwa na TPDF kama sijasahau.
Waarabu mafala Sana, hawajui huyu yupo kwaajili ya kutunza Amani au ni mpiganaji, wao wanachotaka kuona ni miili iliyojaa damu imetapakaa chini ohoo
Wakikutana na wewe ole wako ukaongea kingereza chenye slang ya kimarekani. Tunasema IMEENDA HIYO🤣🤣Hahahaha,wanaweza kukupa u black America ili risasi zijae kifuani vzr
Mbona kama nashindwa ku login inHaya hayaa wabongo tunalialia hakuna ajira na mtaani wasomi wamejaa.[emoji1][emoji1]
Nafasi hizo with abundant salaries kutoka UN, tushindwe wenyewe[emoji1787][emoji119]
Hahahaha,kazi ngumu hiyoWakikutana na wewe ole wako ukaongea kingereza chenye slang ya kimarekani. Tunasema IMEENDA HIYO🤣🤣
Wewe umejificha Katavi wenzio ndio waende Gaza 🤣🤣🤣Haya hayaa wabongo tunalialia hakuna ajira na mtaani wasomi wamejaa.😄😄
Nafasi hizo with abundant salaries kutoka UN, tushindwe wenyewe🤣🙌
Duh jamaa umetaja job descriptions zako mwenyewe 🤣🤣Huko ndio nataka huko. Sio kazi za kuremba remba na akina mama ofisi moja. Kazi inatakiwa muda mwingine unatembea na mjegejo mi2. Mabomu 6. Tikitaka kuzamia handakini 2. Mikimbizo 7. Kuwatambua Hamas ukiachana na makobaz yao hata harufu tu 3.
Mkuu niunganishe hiyo job fasta. Labda waweke vigezo vya ung'eng'e
Umeshacreate account successfully? Then try it againMbona kama nashindwa ku login in
Wewe kima pamoja na Maghayo na genge lake mnafurahia mauaji ya binadamu wenzenu wakiwemo na watoto na wengine wasio na hatia na unaona sawa .
Hahahaha nime cheka Sana mkubwa😂🤣🤣Hahahaha,wanaweza kukupa u black America ili risasi zijae kifuani vzr
Mwamba kajitolea kuji rip😂🤣🤣Duh jamaa umetaja job descriptions zako mwenyewe 🤣🤣
Haina shaka, Kuna stationary Zina jenereta😂🤣🤣Nilipoangalia salary numeration ya UN hapa nakawishika kutuma maombi, sema umeme nao unazingua maana niko hatua ya mwisho Ku update CV, wakijivu tu napiga chini hii kazi ya sasa😄😜