Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaarabu mtu wa peke sana duniani, yaani ye akiona mbele mtu tofauti na yeye tu bhas anachojua ni kukumiminia risasi au akikushika akukate kichwa😂😂Una taka waarabu waku tafutie sababu, UTA onekana Kama ni black America 🤣😂😂.
👉Shaba za kutosha😂🤣
Khaaa nenda mwenyewe na ndugu zako[emoji2]ina maana ukoo wako wote wana ajira?si uchukue majobless kwenye clan yenu uende nao[emoji2][emoji2][emoji2]Kama title inavyosema Umoja wa mataifa (UN) watangaza nafasi mbali mbali za kazi katika ukanda wa Gaza.
Hii sio mara ya kwanza kwa U kutangaza nafasi hizo katika tovuti yao.
nimeona niilete hapa ili wale majobless wanaolalamika hakuna ajira maisha magumu bongo wachangamkie fursa.
Ila msije sema hamna taarifa ya kuwa mpaka sasa watumishi kumi na moja wa UN katika ukanda huo wameshapoteza maisha tangu Jumamosi iliyopita(UN says at least 11 of its workers has been killed since Saturday -BBC).
How to apply: https://unjobs.org/duty_stations/gza
Kizuri share na ndugu,jamaa, na marafiki zakoKhaaa nenda mwenyewe na ndugu zako[emoji2]ina maana ukoo wako wote wana ajira?si uchukue majobless kwenye clan yenu uende nao[emoji2][emoji2][emoji2]
Ni wakati mzuri Kwa wale Masalia waliokwama Airport miaka kadhaa iliyopita,,,,Haha kama wapi hao mkuu?😂
Hahaha nadhani mpaka sasa hata Ile imanibwatakiwa wameshaiacha baada ya kuona haukufanya kazi pale Airport 🤣🤣Ni wakati mzuri Kwa wale Masalia waliokwama Airport miaka kadhaa iliyopita,,,,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aisee vijana nendeni tu mkapambane
Wewe unaweza kuruhusu kukaribisha watu waje kuishi nyumbani kwako bila kufata taratibu ,mfano bila kumtambulisha mgeniKwenye serikali Yako. Ya mtaa ,.....akija kukusumbua badae na kusema hapo unapoishi sasa ni kwake , utafanyaje? Na ndivyo ilivo Kwa misri hawezi kupokea wakimbizi ( waasi)kiholela baadaye waanze kungangania ardhi Yao na kusema hapo ni kwao .....na kuwasabishia vita badae!!wameona mbali misri iyo ni risk kubwa itakayowaharibia amani ya nchi!!!!Tusubiri kwanza Israel itembeze kichapo, ukijipeleka kwa njaa zako na wewe humo humo utaliwa, sasa hivi wakimbizi wamefika 250,000 inatakiwa Misri iwahurumie na kufungua mpaka wakimbilie huko, si ni Waarabu wao na wote dini moja?
Wewe unaweza kuruhusu kukaribisha watu waje kuishi nyumbani kwako bila kufata taratibu ,mfano bila kumtambulisha mgeniKwenye serikali Yako. Ya mtaa ,.....akija kukusumbua badae na kusema hapo unapoishi sasa ni kwake , utafanyaje? Na ndivyo ilivo Kwa misri hawezi kupokea wakimbizi ( waasi)kiholela baadaye waanze kungangania ardhi Yao na kusema hapo ni kwao .....na kuwasabishia vita badae!!wameona mbali misri iyo ni risk kubwa itakayowaharibia amani ya nchi!!!!
Nenda sasaUwoga wao ndio adui (umaskini wako)
Kufa utakufaa tuu hata kwakuumwa na mende
Uliwahi kujiuliza kwanini mafanikio yako kwenye hatari?Nenda sasa
Mbona hata majambazi wakivamia kwako Nina Imani utatunguliza mwanao wa kike na mkeo wapambane ama wewe Ni mwanamke unayeongea hivi.Hatari sana siendi hata nikipewa billion moja
Uliwahi kujiuliza kwanini mafanikio yako kwenye hatari?
Mbn essay kwan kuna kuishi mileke, chaguo ni lako go or notMbona hata majambazi wakivamia kwako Nina Imani utatunguliza mwanao wa kike na mkeo wapambane ama wewe Ni mwanamke unayeongea hivi.
Yaani wewe Kama Kuna Vita utaona POA tu mwanao,mkeo na mama mzazi wakifanyiwa unyanyasaji wa kingono kimabavu mbele yako.
Don't afraid with death since death and tax are only certainty on this Earth.
Kufa hata kuteleza bafuni unaweza ukateleza na ukafa,hata kwa ajali,hata ukalala pasipo ugonjwa ukafa,hata jambazi akarusha risasi ikakupitia,
Sijawahi ona mtu anaogopa kifo utadhani ataishi milele