Brother hapo ndo mahala unapopata ridhiki yako,usikubali mtu yeyote apachezee kwa namna yeyote ile,ikitokea umeishiwa huyo kijana hutakaa umuone hapo,Kuna watu ni ma agent wa shetani sisemi kuwa dogo ni agent,ila kaa nae kwa umakini watu wengine wanatumika kukuangusha pasipo wao wenyewe kujua hilo,kuwa makini ndg.