Nafikiri kijana anayejenga katika usawa huu anatakiwa apewe heshima yake

Nafikiri kijana anayejenga katika usawa huu anatakiwa apewe heshima yake

Mkuu ni kweli unacho kisema vifaavya ujenzi vimepanda bei sana Mfuko wa mmoja wa Cement ni shilingi 17,000 Boksi moja la Tairs ni shilingi 30,000 bado ubebaji. Mchanga gari dogo la bajaji ni shilingi 35,000 Mimi nimetengeneza Milango 2 kwa gharama ya shilingi Milioni moja pamoja na uwekaji na gharama za fundi. Angalia video yangu hiyo hapo chini.


View attachment 2906516
Mlango mmoja huo umesha kuwa teyari umekamilika .


View attachment 2906517
Milango ya banda langu hilo limekamilika Limenigharimu kutengeneza hilo banda lenye vyumba 2 pamoja na choo na kuweka umeme na maji karibu Shilingi Milioini 10. Bado kujenga kiwanja cha mbele.Kweli kujenga wakati huu unatakiwa uwe na kiasi cha shilingi Milioini 60 ndio utaweza kujenga nyumba pasipo na hiyo pesa sio rahisi kujenga nyumba.
View attachment 2906518
mlango mmoja tu pamoja na gharama za kuweka umenigharibu shilingi laki 5.


View attachment 2906520

jumla ni milango 2 kwa gharama ya shilingi Milioni 1 haya vijana munaotaka kujenga nyumba jipangeni kipesa kila kitu kimekuwa ni ghali sana nyumba yangu hiyo ipo kigamboni jijini Dar anayetaka kupangisha anione kwa wakati wake ingawa bado kupaka rangi nje na chumba kimoja kumaliza kukweka Tairs na kuweka hapo nje kibaraza. Lakini akitokea mtu anataka kupanga nipo teyari kumpangisha .
Aisee ndio hivyo senior.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Weee!! Mi nikiolewa naenda kuishi kwa mume hata km ana chumba kimoja, kwangu sifugi mtu.!!
Ila akinizingua nabeba bag langu narudi kwenye mansion yangu 🤣🤣🤣
Kumbe hujaolewa; jimbo lipo wazi na husemi!
 
Labda choo...ila nyumba yoyote hata iwe chumba kimoja...kwa dar andaa kuanzia mil50
Huu ndo ujinga mnodanganyana kisha mnazeekea kwenye nyumba za kupanga.

Kujenga ni kuamua tu ww mwenyewe ili mradi unafanya kazi inayokuingizia kipato.

Endeeni kudanganyana hivo, unaweza jenga kidogo kidogo hata miaka 5 kwa malengo ukiyojiwekea ni ww tu

Nina rafk yangu kipato chake ni kidogo tu hakizid laki 3 kwa mwez ila anajenga kidogo kidogo nyumba ya vyumba 3, chumba kimoja master, kuna sebule na sehem ya kulia chakula pia na choo kingine cha ndani.

Huu mwaka wa pili anajenga mdogo mdogo ameshapaua kaweka madirisha, saiv anajichanganya apige plasta.

Tena ni hapa hapa dar mbezi kwa msuguri kiwanja alinunua million 3 .

Sasa nyie endeleeni na akili zenu za kitoto hivo hivo
 
Mie nmekuelewa kwamba gharama za ujenzi zipo juu ni kweli unaweza kata tamaa ukaacha. Zamani nilikua nashangaa kuona maboma yameachwa mpaka tofali zmeanza kubadilika rangi kwa sasa naelewa.
 
Kujenga ni kuzika pesa ,tukutane kidimbwi tumwagilie moyo
Ukimaliza kumwagilia moyo unaamka asubuhi una hangover za kutosha huna hata mia, supu hata haiteremki na hela zote umekomba na bado kaunta una deni!

Kesho kutwa kodi inaisha, bili ya maji na umeme vinakuandama, ukicheki kwenye akaunti balance inasoma afu 19 tu!

Nyumbani mamako na babako wanakulilia shida, kupiga kizinga kwa wana unaona soo coz ndo kwaanza ni tarehe 2.

Ukicheki umri unakimbilia 35, huna nyumba, huna kiwanja, huna demu wa kueleweka, huna hata mtoto, wewe unapita na wahudumu wa bar tu coz ndo nyota yako ilipo! huna hata baiskeli!

Endelea kumwagilia moyo sisi Acha tuzike pesa.

Miaka 20 ijayo huna maisha, unaanza kutembelea historia, ooh mara enzi zangu nilikuwa hivi na vile kumbe ni janja janja ili uwapige vijana ukware, wakikunyima unaanza kuacha laana, laana zako zitampata nani wakati huo mtaani unaitwa mzee wa ovyo?
 
Mkuu ni kweli unacho kisema vifaavya ujenzi vimepanda bei sana Mfuko wa mmoja wa Cement ni shilingi 17,000 Boksi moja la Tairs ni shilingi 30,000 bado ubebaji. Mchanga gari dogo la bajaji ni shilingi 35,000 Mimi nimetengeneza Milango 2 kwa gharama ya shilingi Milioni moja pamoja na uwekaji na gharama za fundi. Angalia video yangu hiyo hapo chini.


View attachment 2906516
Mlango mmoja huo umesha kuwa teyari umekamilika .


View attachment 2906517
Milango ya banda langu hilo limekamilika Limenigharimu kutengeneza hilo banda lenye vyumba 2 pamoja na choo na kuweka umeme na maji karibu Shilingi Milioini 10. Bado kujenga kiwanja cha mbele.Kweli kujenga wakati huu unatakiwa uwe na kiasi cha shilingi Milioini 60 ndio utaweza kujenga nyumba pasipo na hiyo pesa sio rahisi kujenga nyumba.
View attachment 2906518
mlango mmoja tu pamoja na gharama za kuweka umenigharibu shilingi laki 5.


View attachment 2906520

jumla ni milango 2 kwa gharama ya shilingi Milioni 1 haya vijana munaotaka kujenga nyumba jipangeni kipesa kila kitu kimekuwa ni ghali sana nyumba yangu hiyo ipo kigamboni jijini Dar anayetaka kupangisha anione kwa wakati wake ingawa bado kupaka rangi nje na chumba kimoja kumaliza kukweka Tairs na kuweka hapo nje kibaraza. Lakini akitokea mtu anataka kupanga nipo teyari kumpangisha .
Mkuu hongera sana
 
Kuna watu humu mnapenda sifa za kijinga jinga sn, kutisha sn wenzenu kuhs ujenzi

Chumba kimoja chenye choo ndani mpk kinakamilika hakizid mil. 5 cash, Apo ni kila kitu kuanzia boma,finishing,umeme Hadi mifumo yote ya maji Safi na maji taka.

Nikijenga Chumba na sebule chenye choo ndani uwa natumia mil 10, ata ikifeli haiwezi kuzidi laki 5 ya juu.

Nyie mnaotwambia habar za mil 50 chumba kimoja na sebule sijajua lengo lenu hasa Ni Nini humu jf.
Kiukweli wanawakatisha tamaa watu wenye nia thabiti ya kujenga. Sh. milioni 50 kwa Dar unajenga nyumba nzuri ya vyumba 3 iliyokamilika kila Idara. Labda fence ndio hutaimaliza kwa ujenzi huo. Wanaowatisha wenzao ambao ndio wanajitafuta kujenga waache hiyo tabia. Kwenye Jukwaa hili tupo katika kujifunza, kutiana moyo na kutafuta fursa.
 
Huu ndo ujinga mnodanganyana kisha mnazeekea kwenye nyumba za kupanga.

Kujenga ni kuamua tu ww mwenyewe ili mradi unafanya kazi inayokuingizia kipato.

Endeeni kudanganyana hivo, unaweza jenga kidogo kidogo hata miaka 5 kwa malengo ukiyojiwekea ni ww tu

Nina rafk yangu kipato chake ni kidogo tu hakizid laki 3 kwa mwez ila anajenga kidogo kidogo nyumba ya vyumba 3, chumba kimoja master, kuna sebule na sehem ya kulia chakula pia na choo kingine cha ndani.

Huu mwaka wa pili anajenga mdogo mdogo ameshapaua kaweka madirisha, saiv anajichanganya apige plasta.

Tena ni hapa hapa dar mbezi kwa msuguri kiwanja alinunua million 3 .

Sasa nyie endeleeni na akili zenu za kitoto hivo hivo
Dah 🥴. Mm ninapata 500+ lakin raman Ina chumba na sebule, toilet na naifanyia mpango ipungue. Naona kama kwa kipato changu sitoboi.

Kumbe ni kuamua tu
Nb: kiwanja ninacho
 
Back
Top Bottom