2800 history?Leo hii umeikubali sikomi du, we juzi so uliuponda SIKOMI, alafu hamna msanii anayetoa hiti kila nyimbo,kuhusu diamond mziki kumshinda we si wakwanza kumtabiria , kuna wenzako kama mia humu JF, tokea 2013 mpaka leo bado yupo juu na usisahau, tarehe 17 DEC ana show UK ,ktk ukumbi wa indigo (unachukua watu zaidi ya watu 2800) ,anaandika historia ,sasa wewe endelea kusubiria ndege feri.
Nimesema bora sikomi kwa kuilinganisha na wakawaka lakini sio kwamba inanifurahisha kwenye audioRefer post yako hii eden kimario juzi ulisema hamna kitu ,leo BORA sikomi au labda unatatizo la kusahauView attachment 645391
Simchukii dimondi bali aina ya audio zake hazivutii kwa sasaMzee baba muziki biashara.... Sasa wewe mwambie kibakuli wako apambe yale mashairi yake kama kama lile shairi la [HASHTAG]#sungura[/HASHTAG], na huku mnaemchukia anaendelea kupata chati
Hahahaaaa watu mnamakusudii,yani mmemfukunyua Jamaa na chuki zake,hahahaaaRefer post yako hii eden kimario juzi ulisema hamna kitu ,leo BORA sikomi au labda unatatizo la kusahauView attachment 645391
Hahahaaa lakini umenipata au siyoBwana Eden Kimario,
Kwa uandishi wako tu unatosha kabisa kutambua wewe ni mtu wa design ya namna gani.
Kwa ushauri wangu naona ni vyema huu muda unaopoteza hapa kumponda Naseeb Abdul, ungeutumia kujifunza jinsi ya kupangilia vizuri sentensi zako, itakusaidia siku za Usoni.
Domond, vidio, zisinhekuwepo, riki rosee, p sqwea.
Mi nilifikiri mimi ndio nimepata mshangao mwenyewe2800 history?
Mm mwenyewe nimeisikiliza nimeshindwa kuelewa sio kweli na rick ross ndani lakini dah au rick ross labda kambania maana sio rick ross niliyemzoea kumsikiaHahahaaa lakini umenipata au siyo
Nafikiri mngemshauri dimondi atoe Audio za maana na sio kujificha kwenye maandishi yangu
Yeye mwenyewe anajiita chibu mondi na domondi pia
Wala Rick ross hana makosa kosa ni la mwenye wimboMm mwenyewe nimeisikiliza nimeshindwa kuelewa sio kweli na rick ross ndani lakini dah au rick ross labda kambania maana sio rick ross niliyemzoea kumsikia
Au fungu lilikua dogo labdaWala Rick ross hana makosa kosa ni la mwenye wimbo
Dem boy???bila shaka chakulaHamna kitu mule siku hizi ashindane tu na mama yake kuzaa kwa sasa...Mama akileta mdogo yeye alete mjukuu,mziki waachie chipukizi..
Hahahaaaachuki aliyekufunza nani hujazaliwa nayo ila umekutwa nayo ukubwani
Hicho anachokifanya na alichonacho Naseeb Abdul, mimi sina hata robo yake, huo ndio ukweli.Hahahaaa lakini umenipata au siyo
Nafikiri mngemshauri dimondi atoe Audio za maana na sio kujificha kwenye maandishi yangu
Yeye mwenyewe anajiita chibu mondi na domondi pia