Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa wakala wa beberu na umetumwa kuchafua serikali yetu tukufu inayopiga kazi haijawahi kutokea si Tanzania wala dunia kote
Mabeberu ndy wanaokuja msaada wa madawa za ARV na wasikisitisha hku uraiani hakutokalikaWewe utakuwa wakala wa beberu na umetumwa kuchafua serikali yetu tukufu inayopiga kazi haijawahi kutokea si Tanzania wala dunia kote
Tatizo Ni vijana waliookotwa mtaani hawana weledi Wala shule ya maana wote "kamlete"Ugumu wa zoezi hili ni "Hela za mradi huu umeliwa ndomana ufanisi wa Kazi umekuwa mgumu"
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Zezeta hilo litakusumbua akili bure achana naloAcha ushamba wa kukariri vitu usivyovijua, beberu ni nani?
Bila beberu ungeweza kununua chanjo ya surua, pepopunda, kifaduro nk.
Bila huyo unayemuita beberu ungeweza kununua ARVs za kuhudumia angalau mkoa mmoja tu?
Unawajua washirika wa maendeleo?
Ushamba unakusumbua maana hujui hata unachosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tatizo ujinga wa anayeitwa mnyonge ni kura yake na ujanja wa huyu mnyonge ni kura yake,hata hivyo naamini watawaelewa walalamikajiWe lalamika ponda uwezavyo.... Kama mambo yameenda mraba subiria kuzimiwa simu
Sent using Samsung s10
We jamaa ni bonge la mjinga sanaMagufuli kanoresha utendaji serikalini na kurudisha nidhamu ya kazi sasa unataka NIDA wapewe muda wa nini? Acha uzembe unataka wakufate home kwako?
Kaboresha siyo kaboresha. Vuta pumziMagufuli kanoresha utendaji serikalini na kurudisha nidhamu ya kazi sasa unataka NIDA wapewe muda wa nini? Acha uzembe unataka wakufate home kwako?
AsanteKaboresha siyo kaboresha. Vuta pumzi