Nafikiria kuachana na yule mpenzi wangu asiyeniomba hela

Nafikiria kuachana na yule mpenzi wangu asiyeniomba hela

Kwa kuwa anakujua vizuri huyo ndio mwanamke mzuri wa kuishi nae,cha msingi usibadilishe namna ulivyokuwa unaishi,yeye kupekuwa na kujua mambo yako si sababu ya msingi ya kumuacha hapo cha kuangalia ni mapenzi ya kweli kama yapo.

Bingo my dear well done!
 
Utawezaje kumpa uhuru mchumba wako kiasi hicho your very careless


Jamani, umeshasema ni mchumba wake, Kwa nini asimpe Uhuru? Unless kama anawanganya zaidi ya 1. Sioni tatizo ya yeye kumpa Uhuru huyo mchumba wake , he is careless? On what? Very , very sound not good . Thanks.
 
Tatizo mnaomba ushauri mmesha chokana ungetuomba kipindi mnaanza mapenzi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hv wakala wa shigongo mpaka humu wapo poa bas 2fanye hv mwache huyo dem mpge mashine 3yrz aende tu cku za mitihan akalale na lectrure she must pass cku ya intervew ya kaz akalale na bosi kaz nje nje ,,,
 
Duh! Huyo mpenzio ni Edo Snowden... Ni wivu wa kike tu, akikua ataacha.
Hata benki wana kitu kinaitwa KYC yani know your customer. She is just curious to know well about you... Usimpige chini...
 
hapo tu aliposhika kalam na karatasi kunakili namba ndio kunanivunja mbavu! Sasa ina maana anataka auwashe moto au?
 
Unaishi na binti wa Watu kiholela tu,akikufia humo kwako utasema nini?

Msitangulize matamanio ya miili mbele mkaacha akili nyuma
 
Girl friend unamruhusu hadi ajue mambo yako ya kazini ikiwemo ur payroll?

Hapana ww ndiyo umemlea na asingefikia hapo kama siku ya kwanza ungemkemea!
 
hahaah, ukienda chooni anafanyaje??? hahaaa, me kwa mawazo yangu nahisi wewe utakua ni UKAWA , na huyo demu ni usalama wa taifa ametumwa kuku shushushu!!!
 
Ndio gharama yake hiyo,ulimsifu na kufurahi haombi pesa sasa upekuzi ndio mapungufu yake mvumilie tu
 
Back
Top Bottom