Nafikiria kuachana na yule mpenzi wangu asiyeniomba hela

Nafikiria kuachana na yule mpenzi wangu asiyeniomba hela

na nyie mnaficha sana mambo yenu hadi inabidi tutafte info wenyewe. nafikiri nia yake ni njema tu. kukufahamu zaidi.
 
wanawake wanajua sana kupekenyua asikwambie mtu lazima akafungue mabegi, makabati, na kila kitu unaweza kuta makorokolo mengine ulishayasahau jiandae kujibu maswali ! Lakini akishakuzoea hapekenyui tena usijali mkuu
 
Anafanya project/research.Kwa hiyo mvumilie kwani wewe ni "case study" wake.Ila anakupenda,niamini mkuu!
 
Endelea kumvumilia akishamaliza kusoma document zote atatulia tu.

Ila akikuibia tu leta uzi tukupe ushauri.
 
Juzi kati hapa nilileta uzi kuwa nimepata mtoto wa chuo na huu ni mwezi wa tatu hajaomba cha vocha wala hela yoyote.

sasa kama mjuavyo vyuo vimefunguliwa wiki hii na hajapata chumba bado nikamshauri akae kwangu kwa sababu ni karibu na chuoni kwao.

so jumatatu akahamia wakati tunashughulikia masuala ya hostel

nilimuacha nyumbani nikaenda kwenye mihangaiko yangu kurudi nyumbani nyumba imepekuliwa kuanzia uvunguni mpaka kwenye dari document zangu zote kasoma japo ziko salama .

wiki mbili zilizopita alipekenyua laptop yangu picha nilizopiga na mademu zangu wa miaka nenda rudi nikamkuta anazicheki.

nikienda choooni anakaa mlango wa choo sijui anasikilizia nini.

nilimkuta ameshika simu yangu na kalamu na karatasi ananakili baadhi ya namba kumuuuliza anachekacheka
sasa huyu ni mpenzi au FBI.

nafikiria kumuacha lakini its too late ananijua kuliko hata mama yangu mzazi maana hadi mikataba ya kazini kwangu juu ya mshahara na kila kitu ninachomiliki anakijua kupitia udukuzi wake
Nishaurini jamani

umeshasema n too late endelea nae
 
Sorry yo say this Bro lakini hata Kama ningekuwa Mimi I would definitely be FBI to you. First naona kama unpotezea muda Dada Wa watu, nisamehe kwa hilo . Kwa nini mpaka una keep pics za exes wako on the laptop? Wakati uko kwenye mahusiano Haya.mengine. Usikute huyo dada kafanya hivyo kutaka kujua kulikoni, either kwa kusikia story mtaani or through some changes in your relationship. Kwa Kweli Kama unaona huyu demu hutamuowa please achana nae Bado mapema kabla hujamuumiza zaidi hiyo baadae. ( honestly Mimi sipendi bwana wangu awe anaweka mapicha ya exes zake kama akiwa yuko na Mimi , sio vizuri inauma tena sana tuu) .
Mwingine kaa chini na mpenzio kabla hujamuacha na umuulize kwa nini alifanya vile .Baada ya hapo utafuata moyo wako. Asante.
nimefuata ushauri wako simuachi tena ila nimegundua anataka kunijua zaidi na kama kweli nampenda
 
ogopa sana mwanamke akiamua kukuchunguza..lazima ukweli ataujua tuu
 
Juzi kati hapa nilileta uzi kuwa nimepata mtoto wa chuo na huu ni mwezi wa tatu hajaomba cha vocha wala hela yoyote.

Sasa kama mjuavyo vyuo vimefunguliwa wiki hii na hajapata chumba bado nikamshauri akae kwangu kwa sababu ni karibu na chuoni kwao.

So Jumatatu akahamia wakati tunashughulikia masuala ya hostel.

Nilimuacha nyumbani nikaenda kwenye mihangaiko yangu kurudi nyumbani nyumba imepekuliwa kuanzia uvunguni mpaka kwenye dari document zangu zote kasoma japo ziko salama .

Wiki mbili zilizopita alipekenyua laptop yangu picha nilizopiga na mademu zangu wa miaka nenda rudi nikamkuta anazicheki.

Nikienda choooni anakaa mlango wa choo sijui anasikilizia nini.

Nilimkuta ameshika simu yangu na kalamu na karatasi ananakili baadhi ya namba kumuuuliza anachekacheka
sasa huyu ni mpenzi au FBI.

Nafikiria kumuacha lakini its too late ananijua kuliko hata mama yangu mzazi maana hadi mikataba ya kazini kwangu juu ya mshahara na kila kitu ninachomiliki anakijua kupitia udukuzi wake.

Nishaurini jamani.
Uu
 
Back
Top Bottom