Kwa kuwa anakujua vizuri huyo ndio mwanamke mzuri wa kuishi nae,cha msingi usibadilishe namna ulivyokuwa unaishi,yeye kupekuwa na kujua mambo yako si sababu ya msingi ya kumuacha hapo cha kuangalia ni mapenzi ya kweli kama yapo.
Teh eth teh yanikute wapi lol alafu mie KE ujue
Utawezaje kumpa uhuru mchumba wako kiasi hicho your very careless
Duh! Huyo mpenzio ni Edo Snowden... Ni wivu wa kike tu, akikua ataacha.
Hata benki wana kitu kinaitwa KYC yani know your customer. She is just curious to know well about you... Usimpige chini...
Mafikizolo kasi ngani? unayoisemea wewe, ya kuchunguzwa na wasichana wa vyuo?? au kitu gan? jaribu kunielezea labda yawezakana unanijua vzr!!
Kama mzazi nikisoma hii kitu bado naumia pia;
Heri hata binti yangu amekosa mkopo atakuwa anakwenda chuo na kurudi kulala home, basi.
hahaah, ukienda chooni anafanyaje??? hahaaa, me kwa mawazo yangu nahisi wewe utakua ni UKAWA , na huyo demu ni usalama wa taifa ametumwa kuku shushushu!!!