Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Nimeishia alipokushitaki polisi.Namaliza kwa kusema hauna mke una mzazi mwenziyo aliyekuwa anahitaji mtoto siyo mume katafute mke.
 
Ahsante sana aisee
 
I catch you!!
 
Kwani ndugu mjumbe wewe umezaliwa na wa kigiriki?[emoji848][emoji848][emoji848]
Wanawake wa kibongo wanafanana na wanaume wa kibongo.
Haki vile mkuu tunafanana juu Hadi chini ndani na nje,wanawake na wanaume wa bongo mi a complete and full package
 
Wakizishika huwa wana viburi hatari, wanazitumia hukooo halafu wakiishiwa ndio wanajirudi eti tuwaheshimu!! Malipo ni here here[emoji1787][emoji1787]
Ahhh binadam sisi bhana michosho Sana na ulisema uendekeze mapenzi unaweza ukavaa chupi kichwani buree, Sasa Cha kufia Nini eee
 
Kusema nshapoa sio kweli ila acha niseme ahsante...maana nikicheki watoto wanavyoteseka I wish nisingemchunguza mke wangu au kureact baada ya kugundua ana ni cheat.
Mke kuchiti ni hatua mbaya sana yani inaboa kinyama maana hata ule upendo haupo tena unabakia na sonona tu.
 
Mke kuchiti ni hatua mbaya sana yani inaboa kinyama maana hata ule upendo haupo tena unabakia na sonona tu.
Ni kweli ndo maana nikaamua maamuzi magumu ya kumpiga chini sema sasa watoto ndo wananipa Sonoma nyingine inabaki kusema ni agheri nisingeoa maana hawa wanawake ni vichomi balaa
 
Ichi kiburo chenu baadae kitawatesa saaana
Mkuu Wala usinielewe vibaya Yani wakati mwingine huwa tunakua viburi kutokana na historia,na ili kuuepusha moyo na maumivu na Ile historia isijirudie unaamua kuwa na heshim tu ili maisha yaendelee bas na Wala sio kiburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…