Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
hakikaTurishasema hakuna kutunza siri 2022 kuna mengine bado umeficha hatuna ushauri mpaka useme yote
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakikaTurishasema hakuna kutunza siri 2022 kuna mengine bado umeficha hatuna ushauri mpaka useme yote
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ukiolewa hakuna kubakwa, yaani unaparamiwa na ukishtaki polisi wanakutimulia mbali, wana vingi vya ku solve na sio upuuzi. Eti nimebakwa na mume wangu khaaaa?! Kwanza utachekwa mno![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo ni ubakaji na ni kosa kisheria. Tukiwapeleka polisi mseme hatuna huruma wakati mmeyataka wenyewe!! Tatua kwanza huko kununa then mengine yanajipa tu mbona!
"Mke huvumilia yote na mme huvumilia yote "Nimeishia pale tu ulipo andika kua mke wako kakupeleka POLICE, sijaendelea kusoma tena Kwa sababu huyo siyo mke... Hilo ni gume gume tu la mjini na halifai, achana nalo, mke huvumilia yote na mume huvumilia yote.
Ukiondoka tu kuna njemba itamfadhili na kula mzigo,usiondoke ila kuwa mkatili piga màkofi ya maana mpaka masikio yazibe,akikunyima penzi piga chukua mkanda wa suruali chapa sukumia nje funga mlango alale nje,usilete ulokole kwenye mapenzi,nasema usiondoke bali kuwa mkatili hadi akikuona moyo unaenda mbio kwa woga,tembeza kichapo,
Chukua uamuzi huo ila kwa ziada nashauri pita dawati la jinsia, baraza la kata na ustawi acha ujumbe wakoWakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.
Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za
Hivi wanawake viburi jeuri n.a. madharau mnawajua halafu awe agongwa nje n.a. pia awe Mbaya sura, hana chura, hana miguu mnuka kinywa machoko wa design hii vumilia ukutane n.a. Jela. Tembea mwamba.Umemaliza mkuu jamaa ingawa wengi watasema mkatili ila sometime wanawake wanataka mapenzi ya uhuni uniceguy co mzuri kwenye mapenzi kwa nyakati zote tatzo jamaa ameshajihukumu et kwa sababu ya kipato ndio yote hay yamkute na yey yupo tu hata hachukui hatau yeyot anamwachia MUNGU ni kosa uyu Dem ni wakula nae sahani moja titi fo tati lazm ajielewe , wanaume tunapoteza haiba zetu za uwanaume
.....noted mkuu.Ukiondoka tu kuna njemba itamfadhili na kula mzigo,usiondoke ila kuwa mkatili piga màkofi ya maana mpaka masikio yazibe,akikunyima penzi piga chukua mkanda wa suruali chapa sukumia nje funga mlango alale nje,usilete ulokole kwenye mapenzi,nasema usiondoke bali kuwa mkatili hadi akikuona moyo unaenda mbio kwa woga,tembeza kichapo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Turishasema hakuna kutunza siri 2022 kuna mengine bado umeficha hatuna ushauri mpaka useme yote
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huhuhuhuhuh yaan wee lol, haya bhana.Ahsante sana [emoji848][emoji2960][emoji2960] unajuwa kutoa pole ahsante kwa niaba yake.
Sawa mkuuMimi kaka nakukumbusha tu. Toa zaka kila pesa unayopata mtetezi wako ni Mungu tu. Hiyo familia shetani anaitaka usiwe sbb ya kumpa ushindi. Toa zaka kamili hutoona mahangaiko na mitikisiko hiyo sbb adui umempa mpenyo. Mwenzio mvumilie umepata nafasi ya kujifunza alivyo. Sasa unanafasi ya kumbadili hakuna mkamilifu. Kazi utapata tu ukipata nafasi oa