Kufunga biashara ni moja ya maamuzi ya busara......biashara haikupi faida ifunge usilazimishe kuonekana unafanya biashara fulani kumbe hupati kitu......maana ya biashara ni lazima kuwe na faida ndani yake.
Nilipofunga biashara ya duka la vifaa vya ujenzi leo hii naona nilifanya maamuzi sahihi na magumu pia maana wadau (wateja, marafiki, vibarua, mlinzi,tra walitaka niombe muda kidogo.....)walitaka niendelee.
Ushauri wangu kwako mkuu kama biashara haina faida IFUNGE usisubiri KUFILISIKA na MADENI juu.....
Karibu kwenye ufugaji.........