Mimi kuna Jamaa kanichia hati ya nyumba mwaka unaenda wa tatu sasa, kila nikimtafuta anabadili namba na nikimpata ni sound tu.
Sasa nimesikia amazenguana na Mke wametengana, natafuta mawasiliano na Mke nikimpata nawachonganisha, nawaambia atakayenipa changu nampa hati.