mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 605
- 677
- Thread starter
- #141
kwaiyo ukiwa na ela ndo ruksa itumike ovyoovyo au?TAFUTA PESA tu kijanah hayo mengine hayana maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwaiyo ukiwa na ela ndo ruksa itumike ovyoovyo au?TAFUTA PESA tu kijanah hayo mengine hayana maana
Humu wanafiki wengi
Olewa wewe.Looh kwa hisabati hizo naanza kuwaelewa wale wanaokataa ndoa.
This was funny,Uwe unanunua nusu kilo ili ufungiwe kwenye gazeti la michezo maana unaleta mchezo na nyama wewe.
Maelezo yako hayaeleweki vizuri ni kwamba kila siku mwanamke wako pesa unayomuachia ananunua kilo ya nyama? Umeanza kuishi naye lini? Kilo ya nyama ni elfu 10 umekuwa na uwezo huo wa kumuachia pesa zaidi hiyo kila siku?Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Atapiga chini wangapi?? Mambo kuelekezana maisha yaendeVinaelekezeka boss Kaa nae chini mwambie huku ni daslam sio itilima mfundishe kuishi Kwa bajeti je ungepata mchoyo ungesemaje
HaaaImo vizuri tu, inakosaje kwa mfano
🤣🤣🤣🤣daah wamezd hawa viumbeHalafu utakuta mwamba anataka mwanamke mwenye matako kubwa halafu kuyahudumia hawezi......