Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Nimejifunza mengi hapa..ila ni ukweli kwamba hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mmoja..labda awe mgonjwa
 
Subili hisia juu yake zikatike sasa,..utatumia mwezi,miezi,mwaka au miaka kuzirudisha hapo ndo utaanza kusimangwa huna nguvu za kiume,ikifika hapo ni Wewe utakayekuwa unamkimbia na kifuatacho ni ITV.

Tafuta mchepuko itakusaidia Sana maana Nia njema kwa njia mbovu sio tatizo.

Nimemaliza.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Jitoe ufahamu mpotezee kabisa hata miezi sita usingaike nae

Nilikuwa nafanya experiment hii [emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516] ya kumpotezea

Mrejesho nauweka kwenye first post juu



Mrejesho mkuu,
Mmeshayamaliza.??



Vipi sasa mkuu taabu bado iko pale pale au ndio ulishatafuta michepuko



Ulipata mchepuko? Au alikaa sawa?



Tupe mrejesho we jamaa



Mrejesho [emoji12]



 
Wanawake wengi sio wapenzi wa sex.

Japo wengi humu tunahamasishana kupeleka moto ila kiukweli hawa wenzetu nyege ziko mbali sana aisee.

Wapo wanaopenda ngono kichizi ila wengi wao ngono kwao sio kipaombele kama sisi wanaume. Na ndo hapo tunapoliwa pesa kwa kuhonga sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…