Unjubinunuk
Member
- Mar 14, 2023
- 10
- 22
Habari zenu tena wadau.. nafikiria kwenda katika nchi za jirani hapa kama Msumbiji, Malawi au Zambia. Yoyote mwenye uzoefu wa namna ya kufanya biashara katika nchi hizi anisaidie na connection hizo.
Mtaji wangu ni mdogo lakini inavyoonekana kwa hizo nchi naweza kufanya jambo likaenda, naomba mwenye uzoefu anisaidie.
Mtaji wangu ni mdogo lakini inavyoonekana kwa hizo nchi naweza kufanya jambo likaenda, naomba mwenye uzoefu anisaidie.