Nafikiria tu: Concept Inayotumika kwenye ReactJS inafaa sana kuwa adopted kwenye game engines

Nafikiria tu: Concept Inayotumika kwenye ReactJS inafaa sana kuwa adopted kwenye game engines

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Hello bosses, nimetumia baadhi ya game engines lkn linapokuja swala la kubalance hivi vitu :- 1)Component Reusability, 2)Perfomance, 3)State management bado game engine nyingi sana zinafanya tradeoffs, yaan vinafavor baadhi ya hizo issue na kupuuzia nyngne. Hii inafanya ukute game linachukua storage kubwa sana au RAM kubwa kama ilivyo kwa baadhi ya games maarufu. Au engine kuwa ngumu sana kutumika kwa developers



Mechanics zanazotumiwa na ReactJS behind the scene kiukweli zinafaa sana kuwa adopted kwenye mechanisms za game engines. Kwenye React kila mara state inapobadilika basi inasababisha re-rendering, pia inabadili tu kile kilichobadilika na kuacha vitu vingine vikiwa hvohvo, kwa mtu alie-master react anaweza tengeneza components chache sana ila zikawa re-used kutengeneza app kubwa tu.


React imekosa tu 3d support coz haikua ni idea yake kpnd inaanza kutengenezwa, kuna baadhi ya plugins lkn bado haziperform kwa sababu react haikutengenezwa kwa ajili ya kudeal na graphics ila kama hilo lingekua ni lengo la react basi tungekua na game engine moja efficient sana.


Peace
~Kali Linux
 
Hello bosses, nimetumia baadhi ya game engines lkn linapokuja swala la kubalance hivi vitu :- 1)Component Reusability, 2)Perfomance, 3)State management bado game engine nyingi sana zinafanya tradeoffs, yaan vinafavor baadhi ya hizo issue na kupuuzia nyngne. Hii inafanya ukute game linachukua storage kubwa sana au RAM kubwa kama ilivyo kwa baadhi ya games maarufu. Au engine kuwa ngumu sana kutumika kwa developers



Mechanics zanazotumiwa na ReactJS behind the scene kiukweli zinafaa sana kuwa adopted kwenye mechanisms za game engines. Kwenye React kila mara state inapobadilika basi inasababisha re-rendering, pia inabadili tu kile kilichobadilika na kuacha vitu vingine vikiwa hvohvo, kwa mtu alie-master react anaweza tengeneza components chache sana ila zikawa re-used kutengeneza app kubwa tu.


React imekosa tu 3d support coz haikua ni idea yake kpnd inaanza kutengenezwa, kuna baadhi ya plugins lkn bado haziperform kwa sababu react haikutengenezwa kwa ajili ya kudeal na graphics ila kama hilo lingekua ni lengo la react basi tungekua na game engine moja efficient sana.


Peace
~Kali Linux
Tayari hicho kitu kipo
 
Game engine ipi hyo
React js hufanyiwa intergration na three.js kisha kutengeneza 3d games zinazorun kwenye browser.

Kuna kitu kinaitwa react-three-fiber.

Sema kampuni chache utumia.


Alafu issue ya performance naipinga labda kwa simple games.

Rejea hizi hapa engine kwa game zinazorun kwenye browser


 
React js hufanyiwa intergration na three.js kisha kutengeneza 3d games zinazorun kwenye browser.

Kuna kitu kinaitwa react-three-fiber.

Sema kampuni chache utumia.


Alafu issue ya performance naipinga labda kwa simple games.

Rejea hizi hapa engine kwa game zinazorun kwenye browser


Ulisoma uzi wangu?

Hicho unachosema nmekiongelea kwenye aya ya mwisho

React imekosa tu 3d support coz haikua ni idea yake kpnd inaanza kutengenezwa, kuna baadhi ya plugins lkn bado haziperform kwa sababu react haikutengenezwa kwa ajili ya kudeal na graphics ila kama hilo lingekua ni lengo la react basi tungekua na game engine moja efficient sana.
By its original purpose react haikuwepo kwa ajili ya 3d rendering ndo maana performance ipo chini(nmesema hilo toka mwanzo) hizo libraries zinajaribu kulazimisha tu. Ila endapo purpose ya react ingekua hio basi tungeona kitu kingine kizuri zaidi

Pia three.js imekuwepo hata kabla ya react
 
React js hufanyiwa intergration na three.js kisha kutengeneza 3d games zinazorun kwenye browser.

Kuna kitu kinaitwa react-three-fiber.

Sema kampuni chache utumia.


Alafu issue ya performance naipinga labda kwa simple games.

Rejea hizi hapa engine kwa game zinazorun kwenye browser


Nlidhan utanambia Game engine inayobehave kama react kwenye hizo nyanja tatu nlizotaja hapo juu coz nmetumia jmonkey, unity na nyinginezo ila hawana jipya
 
Back
Top Bottom