Kenya 2022 Nafuatilia Uchaguzi wa majirani zetu kiukweli NEC ya Mahera ni bora kuliko Tume Huru ya Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 Nafuatilia Uchaguzi wa majirani zetu kiukweli NEC ya Mahera ni bora kuliko Tume Huru ya Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 General Election
Kenya kampeni ni mwaka mzima zilianza mwezi wa nane 2021

Yaani kazi mwaka mzima hazifanyiki kila Waziri yuko kutwa jimboni kampeni na Raisi na makamu wake!!

Kenya ukiwa lofa kampeni huwezi

Tanzania kwenye hilo tumewazidi

Muda wa kampeni unakuwa mfupi karibu na uchaguzi tu ili mawaziri na Raisi na makamu wafanye kazi
 
Wewe jamaa utakuwa unatumia kilevi kikali kufubaza ugonjwa ulionao..
 
Kenya kampeni ni mwaka mzima zilianza mwezi wa nane 2021

Yaani kazi mwaka mzima hazifanyiki kila Waziri yuko kutwa jimboni kampeni na Raisi na makamu wake!!

Kenya ukiwa lofa kampeni huwezi

Tanzania kwenye hilo tumewazidi

Muda wa kampeni unakuwa mfupi karibu na uchaguzi tu ili mawaziri na Raisi na makamu wafanye kazi
Umeandika Nini wewe mburura Kenya na Tozonia yako ipi imepepiga hatua kimaendeleo??
Huoni aibu kuandika upopoma namna hii
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Swala la Mombasa wahusika walifahamishwa na kulielewa, halikutokana na tume limetokana na mchapishaji wa karatasi za kura.
Unao uhakika kuwa huku vituo havichelewi kufunguliwa, unadhani kuchomoza kwa jua Dar, Mtwara na Kigoma ni sawa. Tetea udharimu kwa kuwa wewe unafaidika wakati wenzako tukipata maumivu ya dhuluma.
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Ha ha haaa!! Mkuu, kuna tofauti kati ya uchaguzi na uchafuzi. Uchaguzi lazima kasoro zionekane hapa na pale, kwenye uchafuzi yote ni moja kwa sababu end result ni uchafu tu.
 
Umeandika Nini wewe mburura Kenya na Tozonia yako ipi imepepiga hatua kimaendeleo??
Huoni aibu kuandika upopoma namna hii
Maendeleo makubwa ya nini ? Ya ukabila?

Ambayo Ruto anaenda kushinda uchaguzi sababu anaungwa mkono na makabila makubwa ya Kalenjini na wakikuyu?
 
Swala la Mombasa wahusika walifahamishwa na kulielewa, halikutokana na tume limetokana na mchapishaji wa karatasi za kura.
Msimamizi wa uchapishaji ni tume ya uchaguzi!!!

Garbage in garbage out!!
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Vijana wa ufipa watakuita sukumagang; shauri yako.
 
Kenya kampeni ni mwaka mzima zilianza mwezi wa nane 2021

Yaani kazi mwaka mzima hazifanyiki kila Waziri yuko kutwa jimboni kampeni na Raisi na makamu wake!!

Kenya ukiwa lofa kampeni huwezi

Tanzania kwenye hilo tumewazidi

Muda wa kampeni unakuwa mfupi karibu na uchaguzi tu ili mawaziri na Raisi na makamu wafanye kazi
..kama ni hivyo basi Kenya wana afadhali kuliko Tanzania.

..Magufuli hakusimama kufanya kampeni, rafu, na ukatili, toka 2015 mpaka 2021 alipokufa.
 
Unajivunia tume ambayo inaongozwa na watu ambao huwa wanateuliwa moja kwa moja na mmoja wa wagombea urais? Alafu tukisema wewe ni kichaa utabisha. Hiyo Kenya ndio huwa inaitwa umaandazi na ushamba.
 
Hata wanapotaka katiba mpya mi huwa siwaelewi,, [emoji16][emoji16],hivi wanafikiriaga hiyo katiba wao ndo wanahaki ya kuiandika peke yao na kwamba itapatikana wanavyoitaka wao iwe?.
Mfano kupunguza madaraka ya Rais hadi yafike level ya Diwani? [emoji23][emoji23]
Haya Mambo Makubwa ungeacha kuyajadili. Unaweza kuelezea Zuchu alivyoshuka Kwa Mkapa Jana watu wakakuelewa.
 
..kama ni hivyo basi Kenya wana afadhali kuliko Tanzania.

..Magufuli hakusimama kufanya kampeni, rafu, na ukatili, toka 2015 mpaka 2021 alipokufa.
Kifupi dawa ya moto moto.

Chadema kipindi cha Kikwete waliitisha migomo kibao ikiwemo ya madaktari na kusababisha mamia ya watanzania kufa kipindi cha huyo Dk Mashinji mliyemzawadia ukatibu mkuu Chadema kwa Kuua watu hospitalini kupitia migomo ya madaktari aliyohamasisha

CCM ikaamua imlete mtu atakayewaletea moto wa uhakika Magufuli

Kafariki lakini moto aliowapa sio wa dunia hii wapuuzi nyie hadi sasa mbalia lia ohh mama tafute machozi asante kwa maridhiano mama tunakukubali wapuuzi nyingi

Rudieni ujinga mlimfanyia Kikwete mtu mpole mcheshi mliyemlipa ujeuri

CCM ins watu makatili kuliko Magufuli

Magufuli cha mtoto mkome kabisa

Huyu Mama Samia msimkorofishe kama mlivyomfanyia Kikwete mkileta za kuleta 2025 CCM itawaletea mgombea anayemzidi Magufuli kwa mbabe

Behave yourselves
 
Acha kulinganisha kifo na usingizi, huu uchaguzi wetu wa Kamlete unafananisha na huo? Tume huru ni pamoja na flexibility kukubaliana na mabadiliko ikiwemo kuahirisha!
 
Kifupi dawa ya moto moto.

Chadema kipindi cha Kikwete waliitisha migomo kibao ikiwemo ya madaktari na kusababisha mamia ya watanzania kufa kipindi cha huyo Dk Mashinji mliyemzawadia ukatibu mkuu Chadema kwa Kuua watu hospitalini kupitia migomo ya madaktari aliyohamasisha

CCM ikaamua imlete mtu atakayewaletea moto wa uhakika Magufuli

Kafariki lakini moto aliowapa sio wa dunia hii wapuuzi nyie hadi sasa mbalia lia ohh mama tafute machozi asante kwa maridhiano mama tunakukubali wapuuzi nyingi

Rudieni ujinga mlimfanyia Kikwete mtu mpole mcheshi mliyemlipa ujeuri

CCM ins watu makatili kuliko Magufuli

Magufuli cha mtoto mkome kabisa

Huyu Mama Samia msimkorofishe kama mlivyomfanyia Kikwete mkileta za kuleta 2025 CCM itawaletea mgombea anayemzidi Magufuli kwa mbabe

Behave yourselves

..Dr.Mashinji alijiunga na Ccm kumfuata Magufuli.

..hiki ulichoandika sidhani kama umekihakiki kabla ya ku-post, na unakiamini.
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Hivi johnthebaptist unawezaje kuulinganisha uchaguzi huru wa Kenya na huu wetu tunaoweza kudiriki kuuita"uchafuzi" uliofanyika mwaka juzi?🥺
 
Hata wanapotaka katiba mpya mi huwa siwaelewi,, [emoji16][emoji16], hivi wanafikiriaga hiyo katiba wao ndo wanahaki ya kuiandika peke yao na kwamba itapatikana wanavyoitaka wao iwe?

Mfano kupunguza madaraka ya Rais hadi yafike level ya Diwani? [emoji23][emoji23]
Wewe siyo wa kwanza kuifurahia hii katiba. Hata Bashiru, Polepole, Sabaya na Makonda walikuwa wanaishangilia hii katiba lkn leo hii kiko wapi?
 
Back
Top Bottom