Kenya 2022 Nafuatilia Uchaguzi wa majirani zetu kiukweli NEC ya Mahera ni bora kuliko Tume Huru ya Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 Nafuatilia Uchaguzi wa majirani zetu kiukweli NEC ya Mahera ni bora kuliko Tume Huru ya Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 General Election
Unajivunia tume ambayo inaongozwa na watu ambao huwa wanateuliwa moja kwa moja na mmoja wa wagombea urais? Alafu tukisema wewe ni kichaa utabisha. Hiyo Kenya ndio huwa inaitwa umaandazi na ushamba.
Kenya Raisi akichagua wajumbe wa tume ya uchaguzi ni sawa ila kwa Tanzania Chadema watapinga!! Wajinga sana
 
Kenya Raisi akichagua wajumbe wa tume ya uchaguzi ni sawa ila kwa Tanzania Chadema watapinga!! Wajinga sana
Umechanganyikiwa, nazungumza kuhusu wewe kujivunia hiyo tume yenu ya ubabaishaji. Fanya utafiti kwanza kuhusu uteuzi wa makamishna wa tume huru ya uchaguzi nchini Kenya. Ndio utajua kwamba Tz huwa mnafanya usanii tu sio uchaguzi.
 
Umechanganyikiwa, nazungumza kuhusu wewe kujivunia hiyo tume yenu ya ubabaishaji. Fanya utafiti kwanza kuhusu uteuzi wa makamishna wa tume huru ya uchaguzi nchini Kenya. Ndio utajua kwamba Tz huwa mnafanya usanii tu sio uchaguzi.
NEC ukisikia wameahirisha Uchaguzi eneo fulani ujue kuna mgombea kafa

Ila huko Kenya ni full vituko
 
..Dr.Mashinji alijiunga na Ccm kumfuata Magufuli.

..hiki ulichoandika sidhani kama umekihakiki kabla ya ku-post, na unakiamini.
Alimfuata Magufuli baada ya Chadema kutiheshimu mikataba waliyokubaliana ya malipo Mashinji akienda na Lowasa Chadema

Mashinji Duni Haji na Dk Slaa,Lowasa Sumaye na Nyalandu kwa mfano kuna makubaliano waliingia na Chadema hasa kuhusu mambo ya malipo na uteuzi nk

Chadema ikakiuka ikawaacha kwenye mataa ! Ndipo Mashinji ,Lowasa,Sumaye, Dk Slaa ,Mashinji na Nyalandu wakaamua kukimbia Chadema wasife njaa

Chadema waliwa blackmail kwa ahadi hewa ili tu washinde uchaguzi

Anyway same happened to Bernard Membe alikuwa blackmailed na ACT wazalendo mchana kweupe jua linawaka.Wakavunja makubaliano walimuacha njia panda barabarani akarudi CCM

Kifupi vyama vya upinzani kupata vigogo kutoka CCM haiji kutokea tena
 
Alimfuata Magufuli baada ya Chadema kutiheshimu mikataba waliyokubaliana ya malipo Mashinji akienda na Lowasa Chadema

Mashinji Duni Haji na Dk Slaa,Lowasa Sumaye na Nyalandu kwa mfano kuna makubaliano waliingia na Chadema hasa kuhusu mambo ya malipo na uteuzi nk

Chadema ikakiuka ikawaacha kwenye mataa ! Ndipo Mashinji ,Lowasa,Sumaye, Dk Slaa ,Mashinji na Nyalandu wakaamua kukimbia Chadema wasife njaa

Chadema waliwa blackmail kwa ahadi hewa ili tu washinde uchaguzi

Anyway same happened to Bernard Membe alikuwa blackmailed na ACT wazalendo mchana kweupe jua linawaka.Wakavunja makubaliano walimuacha njia panda barabarani akarudi CCM

Kifupi vyama vya upinzani kupata vigogo kutoka CCM haiji kutokea tena

Katika kitu niliwwdharau CDM ni kuokota hizo taka ngumu toka CCM na kuzipa nafasi ya kugombea ndani ya cdm. CCM hakuna vigogo bali kuna majizi ya mali ya umma.
 
Mwanzo mgumu kaka, tusipinge kila kitu, tutiane moyo wakati mwingine.

Ilichokifanya Kenya Tz hatuwezi kukifanya.
Na huu ndo ukweli na si propaganda za mleta mada. Sahivi wameanza kuhesabu kura kila kituo nchi mzima na zoezi la kuhesabu linafanyika kwa uwazi kabisa na makamera yakimulika na kila kitu kinachoendelea kuonyeshwa live kabisa hatua kwa hatua... Ile habari ya mawakala wa upinzani kufukuzwa kwa mtutu wa bunduki kisha kura feki kuingizwa kwa mabegi meusi huwezi kuyaona kwa wenzetu..
 
Kifupi dawa ya moto moto.

Chadema kipindi cha Kikwete waliitisha migomo kibao ikiwemo ya madaktari na kusababisha mamia ya watanzania kufa kipindi cha huyo Dk Mashinji mliyemzawadia ukatibu mkuu Chadema kwa Kuua watu hospitalini kupitia migomo ya madaktari aliyohamasisha

CCM ikaamua imlete mtu atakayewaletea moto wa uhakika Magufuli

Kafariki lakini moto aliowapa sio wa dunia hii wapuuzi nyie hadi sasa mbalia lia ohh mama tafute machozi asante kwa maridhiano mama tunakukubali wapuuzi nyingi

Rudieni ujinga mlimfanyia Kikwete mtu mpole mcheshi mliyemlipa ujeuri

CCM ins watu makatili kuliko Magufuli

Magufuli cha mtoto mkome kabisa

Huyu Mama Samia msimkorofishe kama mlivyomfanyia Kikwete mkileta za kuleta 2025 CCM itawaletea mgombea anayemzidi Magufuli kwa mbabe

Behave yourselves
Utter nonsense
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Acha mambo Yako,we ndio Jecha au Mafweza🏃
 
Ni mpumbavu tu ndio atakaye iona IEBCKenya ni ya kisanii.Tukubali wenzetu wametushinda kwa uwazi katika uchaguzi.Sisi tuna mambo ya kipumbavu sana.Kwani watu wakishindana kwa haki shida ni nini?
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Mgombea kupita bila kupingwa na police kusaidia watu wenye mabox ya kula yasiyo halali
 
Kenya kampeni ni mwaka mzima zilianza mwezi wa nane 2021

Yaani kazi mwaka mzima hazifanyiki kila Waziri yuko kutwa jimboni kampeni na Raisi na makamu wake!!

Kenya ukiwa lofa kampeni huwezi

Tanzania kwenye hilo tumewazidi

Muda wa kampeni unakuwa mfupi karibu na uchaguzi tu ili mawaziri na Raisi na makamu wafanye kazi
Uchumi wao una ruhusu, na mfumo wao pia ni bora sana kulinganisha na huu wenu wa hovyo, hebu fikiria wame piga kampuni miezi kumi lakini hujasikia chama au mgombea yeyote akilalamika kufanyiwa hujuma, wote wanapewa haki sawa za kufanya mikutano ya kampuni, hapa Nec hadi huwa inajipa mamlaka ya mahakama na kutishia kufua chama kinacho one kana kuwa na upi zani mkubwa na ccm, maana yake tume ya uchaguzi ni mamluki wa ccm, polisi wa nafanya kile wanachoamriwa na ccm, jeshi vilevile, na hata si kwenye uchaguzi tu, Tanzania kila kitu kinafanywa kwa kufata matakwa ya ccm, mara kinana ameamua askari wa barabaranj waondolewe, mara shaka amepiga marufuku sijui nini Huko, nchi ni kama haina serikali, ccm ndiyo ime geuka serikali kuu, polisi, mahakama, jeshi nk, nchi bure kabisa hii.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
🐒🐒🐒👇
 
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa

Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa

Udhaifu ninaoushuhudia sijawahi kuuona kwenye NEC yetu ya Tanzania

Hivi wanaolilia Tume Huru ya Uchaguzi huwa wanamaanisha nini hasa?
Hili ni jukwaa la Kenya! Lakini nitatofautiana na wote wanaolinganisha uchafu wa mahera wa Tz na IEC ya Kenya. Hao wako mbali kwa kila hali hata ubinadamu wa kawaida tu! Hivi huyo Mahera (nachelea kumwita binadamu) angeruhusu uwazi ulioonyeshwa na IEC ya Kenya? Rubbish do not compare IEC with the that Rubbish lead by crooks! Congrats IEC, Congrats Kenyans.
 
Back
Top Bottom