Kenya 2022 Nafuatilia Uchaguzi wa majirani zetu kiukweli NEC ya Mahera ni bora kuliko Tume Huru ya Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 General Election
Kenya kampeni ni mwaka mzima zilianza mwezi wa nane 2021

Yaani kazi mwaka mzima hazifanyiki kila Waziri yuko kutwa jimboni kampeni na Raisi na makamu wake!!

Kenya ukiwa lofa kampeni huwezi

Tanzania kwenye hilo tumewazidi

Muda wa kampeni unakuwa mfupi karibu na uchaguzi tu ili mawaziri na Raisi na makamu wafanye kazi
 
Wewe jamaa utakuwa unatumia kilevi kikali kufubaza ugonjwa ulionao..
 
Umeandika Nini wewe mburura Kenya na Tozonia yako ipi imepepiga hatua kimaendeleo??
Huoni aibu kuandika upopoma namna hii
 
Swala la Mombasa wahusika walifahamishwa na kulielewa, halikutokana na tume limetokana na mchapishaji wa karatasi za kura.
Unao uhakika kuwa huku vituo havichelewi kufunguliwa, unadhani kuchomoza kwa jua Dar, Mtwara na Kigoma ni sawa. Tetea udharimu kwa kuwa wewe unafaidika wakati wenzako tukipata maumivu ya dhuluma.
 
Ha ha haaa!! Mkuu, kuna tofauti kati ya uchaguzi na uchafuzi. Uchaguzi lazima kasoro zionekane hapa na pale, kwenye uchafuzi yote ni moja kwa sababu end result ni uchafu tu.
 
Umeandika Nini wewe mburura Kenya na Tozonia yako ipi imepepiga hatua kimaendeleo??
Huoni aibu kuandika upopoma namna hii
Maendeleo makubwa ya nini ? Ya ukabila?

Ambayo Ruto anaenda kushinda uchaguzi sababu anaungwa mkono na makabila makubwa ya Kalenjini na wakikuyu?
 
Swala la Mombasa wahusika walifahamishwa na kulielewa, halikutokana na tume limetokana na mchapishaji wa karatasi za kura.
Msimamizi wa uchapishaji ni tume ya uchaguzi!!!

Garbage in garbage out!!
 
Vijana wa ufipa watakuita sukumagang; shauri yako.
 
..kama ni hivyo basi Kenya wana afadhali kuliko Tanzania.

..Magufuli hakusimama kufanya kampeni, rafu, na ukatili, toka 2015 mpaka 2021 alipokufa.
 
Unajivunia tume ambayo inaongozwa na watu ambao huwa wanateuliwa moja kwa moja na mmoja wa wagombea urais? Alafu tukisema wewe ni kichaa utabisha. Hiyo Kenya ndio huwa inaitwa umaandazi na ushamba.
 
Haya Mambo Makubwa ungeacha kuyajadili. Unaweza kuelezea Zuchu alivyoshuka Kwa Mkapa Jana watu wakakuelewa.
 
..kama ni hivyo basi Kenya wana afadhali kuliko Tanzania.

..Magufuli hakusimama kufanya kampeni, rafu, na ukatili, toka 2015 mpaka 2021 alipokufa.
Kifupi dawa ya moto moto.

Chadema kipindi cha Kikwete waliitisha migomo kibao ikiwemo ya madaktari na kusababisha mamia ya watanzania kufa kipindi cha huyo Dk Mashinji mliyemzawadia ukatibu mkuu Chadema kwa Kuua watu hospitalini kupitia migomo ya madaktari aliyohamasisha

CCM ikaamua imlete mtu atakayewaletea moto wa uhakika Magufuli

Kafariki lakini moto aliowapa sio wa dunia hii wapuuzi nyie hadi sasa mbalia lia ohh mama tafute machozi asante kwa maridhiano mama tunakukubali wapuuzi nyingi

Rudieni ujinga mlimfanyia Kikwete mtu mpole mcheshi mliyemlipa ujeuri

CCM ins watu makatili kuliko Magufuli

Magufuli cha mtoto mkome kabisa

Huyu Mama Samia msimkorofishe kama mlivyomfanyia Kikwete mkileta za kuleta 2025 CCM itawaletea mgombea anayemzidi Magufuli kwa mbabe

Behave yourselves
 
Acha kulinganisha kifo na usingizi, huu uchaguzi wetu wa Kamlete unafananisha na huo? Tume huru ni pamoja na flexibility kukubaliana na mabadiliko ikiwemo kuahirisha!
 

..Dr.Mashinji alijiunga na Ccm kumfuata Magufuli.

..hiki ulichoandika sidhani kama umekihakiki kabla ya ku-post, na unakiamini.
 
Hivi johnthebaptist unawezaje kuulinganisha uchaguzi huru wa Kenya na huu wetu tunaoweza kudiriki kuuita"uchafuzi" uliofanyika mwaka juzi?🥺
 
Wewe siyo wa kwanza kuifurahia hii katiba. Hata Bashiru, Polepole, Sabaya na Makonda walikuwa wanaishangilia hii katiba lkn leo hii kiko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…