NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Nachokiomba kwenu tu jamani, naombeni maelekezo namna ya kuwasha taa ya camera mda wote nikitaka kupiga picha usiku,
Natumia 𝐒𝐀𝐌𝐒𝐔𝐍𝐆 𝐒9+,
 
Kwa bongo vitu vingine tuache vipite,ama uwenacho kama ziadakuna.
kuna msela wangu alikuja kijijin na kiaifoni aifoni chake mara oo haijauzoea mtandao wa huku mara oo chaji imekata.Jamaa alikaa kwa maskitiko sana mpaka akakimbia kwa mangi kuokoteza cha batton!
 
Binafsi nilkuwa na akili kama mtoa mada, ila katika harakati zangu za kusafiri safiri jamaa zang wa biashara 2017 Cape town nlipewa zawad ya iphone 7+ kipind ziko moto sana, Nliona ubora wa Apple na kuanzia hapo sijawah kuitaman Simu za Android.. For now na iphone 12 Plain simu nzuri sana hii
 
Uzuri wa iPhone Ni storage tu ambapo, inakuwa ni full storage, Yani Kama Ni GB 64 Basi ni 64 zote ..hapo zile za simu haziusiki. Na pia haikwami kwani, spika. Zake Ni balaa Zina piga vizuri pengine Kuliko hata za baadhi ya pic( laptop) pia uzuri wa iPhone unaokoteza videmu vile vishamba unavilamba tu bila shida hahaha ..Ila yote kwa yote Sumsung phones kwangu Mimi ndio the best aise sijapata kuona. Japo kunna zingine nzuri Ila Samsung kwangu ndio itabaki kuwa kampun Bora ya simu. Japo upande wa betri wanafeli Sana.
 

Tafuta Hela, Acha Makasiriko
 
Kwa ufupi niseme tu UNALALAMIKA NA SULUHISHO UNALO SIJUI UNACHOKIHITAJI NI NINI lakini pia fanya linalokupendeza hao wa iPhone achana nao na sijawahi ona chapisho la mmiliki ye yote wa iPhone akiilaum os ya android. Na utambue jambo hili kuwa hatuwezi fanana kiasi cha watu wote kubaki kwenye mfumo unaoutete!
 
Android ndio mpango mzima,sijawahi kuzitamani hizi simu za iphone..
 
Kula kwanza ndugu najua njaa tu inakusumbua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu na kipenda roho chake yani kwakuwa yote ni magari ndo ulazimishe kila mtu atumie toyota ist kisa ina A/C na haili mafuta kama range shekhe kiufupi tafuta hela uweze kumiliki unachokipenda maana wengi wanazoponda iphone mnatumia android matoleo ya 2020 kushuka chini utamsikia mtu nina flagship [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumia unachokipenda na usilazimishe mtu apende unachokipenda wewe hiyo ni sifa ya uchawi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…