NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Umaskini mbaya sana inaweza fika hatua unaona kula nyama ni hakuna kitu bora ule dagaa ukitumia kigezo cha kuwa zote ni mboga
Iphone na sumsung hakuna simu bora zaidi ya mwenzake isipokuwa ni preference ya mteja tu chukulia mfano s23 utra vs iphone 14 pro max
 
But inafanya kuwa rahis kwa third park kuzihack. Is why iphone si open source, source code si publick, why? Wamefocus kwenye ulinzi wa os zao zaid

Nani anaweza kuhack simu ya android akashindwa iphone!!!!

Hili swala "kuhack" linarahisishwa sana.

Kuhack upate access ya kifaa husika na data za mhusika wa mwanzo sio swala jepesi kama linavyoandikwa.
 
Kwa upande wangu ni umasikini wangu tu, ila nilichogundua simu zote za bei kubwa zipo sawa kwenye ubora, ukinunua simu zetu hizi za promotion Tecno za laki 2-3 ndio zinaganda na kusumbua lakini iphone 5 inazipita simu nyingi tu za kisasa kwenye performance

Hivo basi, hoja yangu ni kwamba katika simu za makampuni yote ambazo dukani zinaanzia laki 7 hakuna inayosumbua, Tecno za bei kubwa zipo vizuri, mtu unapata kitu kulingana na budget yako
 
Usikariri, simu yoyote inaweza kusumbua, hata iwe ya milioni 3. Na unaweza kupata Redmi yako ya laki 3 ila usipate shida yoyote. Halafu ukanunua Xiaomi 12 Pro au One Plus 10 Pro zenye Snapdragon 8 Gen 1 zikakuletea shida ya overheating na kushuka chaji faster kama maji. Simu zinatengenezwa na binadamu. Hata iwe ya milioni 3 inaweza kuwa na matatizo yake vilevile. Kikubwa katika simu expensive ni kufanya vitu kwa ubora mfano kamera kali, display nzuri, design expensive, speaker nzuri ila errors zipo
 
iPhone simu imara sana inadumu kwa muda mrefu. Imagine hadi leo kuna watu wanatumia iPhone 6, simu ya mwaka 2013. Tecno gani ya mwaka huo bado inauzwa?
 
Niliwahi miliki iphone 6s+ zamani nikaboreka.

Sidhani kama nitarudi kwenye iphone.

Simu zangu pendwa ni.

1. Samsung
2. Sony Experia.
3. Huawei.
 
Hatali na nusu
 
WEKA WI-FI ZA T¡G0 ZINA SPEED KUBWAA MNOO!
HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NAFUU SANA!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI
⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI
⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO DELIVERY NI FREEE!!

GHARAMA NI NAFUU, SPEED KUBWAA (pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa)
NICHEKI: 0717700921
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…