Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Sio kweli. Hii ni scam kama scam nyingine. Siwez kubisha na gugo mm. Usieleze nadharia. EMBASY umezitaja nyingi sana, screenshot call for Proposal moja tu ya miaka hii miwili kutoka JICA. USAID Kama wana call nyingine nje ya hiyo iweke hapa. Yani we ututishe hapa NGO yako Ina miez miwili imepewa fund labda nabishana na jakaya kikwete
Nani amekuambia NGO yangu ina miezi miwili kwasasa? Nimekuambia nilianza kupata funds kutoka US Embassy (mwaka siwezi kukutajia) nikiwa na miezi miwili tu baada ya kufanya usajili wa NGO hiyo

Tatizo lako wewe ni kujifanya mjuaji wakati hujui kitu kwenye hii tasnia ya NGOs
 
Nyie fungueni tu tukiona kimya tuna wapiga pin tu ..tume futa NGO zaidi ya elfu 6000 mwaka jana ...na mwaka huu kabla auja isha tuna futa zingine
Pesa Sio zako ,wala Sio za serikali yako, lakini unaonea wivu wa tz wenzako wakijivutia maokoto.

Ulitakiwa uzisimamie NGO zifanye vizur coz, zinaleta ustawi kwenye jamii yako mwenyewe,

We mkuu ni wa hovyo sana
 
Pesa Sio zako ,wala Sio za serikali yako, lakini unaonea wivu wa tz wenzako wakijivutia maokoto.

Ulitakiwa uzisimamie NGO zifanye vizur coz, zinaleta ustawi kwenye jamii yako mwenyewe,

We mkuu ni wa hovyo sana
Sio jukumu letu kuwa lipia hela ya kuendeshea wana fungua afu hazifanyi kazi zina baki dormant kwa nini sizi Lambwe kichwa
 
Unataka kuijua NGO yangu ili iweje? Kwa akili yako unadhani naweza kushare taarifa zangu binafsi hapa kwa manufaa yako?
Kwa kifupi NGO yangu inafanya kazi na hayo mashirika makubwa kitambo tu (UNDP, USADF, PEPFAR, Baadhi ya balozi, na oktoba/novemba hii nitakuwa na USAID Tanzania). Nilianza kupata funds kutoka US Embassy miezi 2 tu baada ya kusajili hiyo NGO
Shuhuda kama hizi zinatia moyo hasa kwa ss tunaotarajia kuingia ulingoni mara hours za wanauzi zinatuvuta upande wao...unatupa moyo sana mkuu endelea kutupa madinii mwaga vitu mkuu watu tupate maarifa
 
Nani amekuambia NGO yangu ina miezi miwili kwasasa? Nimekuambia nilianza kupata funds kutoka US Embassy (mwaka siwezi kukutajia) nikiwa na miezi miwili tu baada ya kufanya usajili wa NGO hiyo

Tatizo lako wewe ni kujifanya mjuaji wakati hujui kitu kwenye hii tasnia ya NGOs
Mkuu tuambie basi ilikuaje ukapata yani ulikuwa na vigezo vipi timilifu na ss tufuate nyayo zako
 
Nyie fungueni tu tukiona kimya tuna wapiga pin tu ..tume futa NGO zaidi ya elfu 6000 mwaka jana ...na mwaka huu kabla auja isha tuna futa zingine
Sababu za kufuta NGO zote hizo huwa nn nini hasa huwa wanakosea wapi
 
Kwamba tunaanzia solution kwenda kwenye problem?umenipa kitu.
Je umejiuliza kwanini wanaanza na solutions kwenda kwenye problem.
Lengo hasa ni Ku prolong problem, Yan tatizo haliishi kamwe, kumbuka hii ni Miradi ni ya watu,

Watajizungusha kwenye mambo madogo madogo wee, mpaka matatizo yanazidi kuuengeza Zaidi, na mfuko wa funds itabidi Uwe mkubwa Zaidi coz , matatizo yamekuwa mengi na mengine yamekuwa sugu.
 
Ubalozi wa Canada wanatoa call for proposals kila mwishoni mwa mwaka ndugu, hiyo call ni kwaajili ya miradi ambayo inafanyika mwaka huu. Kwa miradi itakayofanyika mwakani 2024, watatoa call for proposals ikifika Disemba 2023.
Muelekeze haelewi
 
Back
Top Bottom