Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Ubalozi wa Canada wanatoa call for proposals kila mwishoni mwa mwaka ndugu, hiyo call ni kwaajili ya miradi ambayo inafanyika mwaka huu. Kwa miradi itakayofanyika mwakani 2024, watatoa call for proposals ikifika Disemba 2023.

ohoo update wanaweka kwenye website gan ya hizo propasal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…