Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Karibuni kwenye huu mjadala.
Kwa miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia kuona ligi ya Tanzania ikikua kwa kasi saaana, yote ikichagizwa na azam media kongole kwao kwa udhamini mnono.
Tumeshuhudia timu Kama Simba, Yanga, Azam wakiwa na uwezo wa kung'oa wachezaji tokea mataifa makubwa tena wakiwa ni wachezaji tegemeo.
Naiona ligi ikiendelea kukua sana na kufatiliwa ndio maana Azam wakaweka mkataba wa kimang'ung'o wa Msovero wa miaka 10.
Wengi tumeshuhudia hile mbugi ya hawa singida hasa wale wa Brazil wake kuna jamaa inaitwa Federico hatari sana. Nafurahi kuona competition itakayo kuepo kati ya Azam na singida big stars kugombania nafasi ya 3/4.
Twende kwenye hoja ya msingi, kiuhalisia ubora wa hizi timu umechangiwa na wachezaji wengi tokea nje ya Tanzania. vipi ubora wa wachezaji wetu wa ndani?
Je, tunapotea Kama taifa kwa kujaza wachezaji wengi wa nje?..je TRA sasa waangalie mpira kwa jicho la biashara waanze kukata kodi Kama nchi nyingine wanavyofanya?.....
Kwa miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia kuona ligi ya Tanzania ikikua kwa kasi saaana, yote ikichagizwa na azam media kongole kwao kwa udhamini mnono.
Tumeshuhudia timu Kama Simba, Yanga, Azam wakiwa na uwezo wa kung'oa wachezaji tokea mataifa makubwa tena wakiwa ni wachezaji tegemeo.
Naiona ligi ikiendelea kukua sana na kufatiliwa ndio maana Azam wakaweka mkataba wa kimang'ung'o wa Msovero wa miaka 10.
Wengi tumeshuhudia hile mbugi ya hawa singida hasa wale wa Brazil wake kuna jamaa inaitwa Federico hatari sana. Nafurahi kuona competition itakayo kuepo kati ya Azam na singida big stars kugombania nafasi ya 3/4.
Twende kwenye hoja ya msingi, kiuhalisia ubora wa hizi timu umechangiwa na wachezaji wengi tokea nje ya Tanzania. vipi ubora wa wachezaji wetu wa ndani?
Je, tunapotea Kama taifa kwa kujaza wachezaji wengi wa nje?..je TRA sasa waangalie mpira kwa jicho la biashara waanze kukata kodi Kama nchi nyingine wanavyofanya?.....