Nafurahi kuona ligi ya Tanzania ikikua kwa kasi lakini...

Nafurahi kuona ligi ya Tanzania ikikua kwa kasi lakini...

Kumbe nawe umeona. Hili ni tatizo kubwa sana. Huwezi kuruhusu timu kuleta wachezaji wa kigeni 12 alafu utegemee kupata timu ya taifa nzuri...
Kumbe ukiachana na kuchakata papuchi kwenye mpira pia huko na uelewa nao big up.

Juzi nikasema niangalie mashindano ya under 20, ilikua game ya yanga sijui na timu gani nilivyowaona wale majibaba nikabadili channel haraka Sana, binafsi bongo youth program hatuko vizuri atleast azam wanakuja kuja.
 
Nafikiri kutoza kodi kama mataifa mengine haiwezi kuwa muarobaini, kuwe tu na mpango mkakati juu ya kuvizishika na kuviibua vipaji vya wazawa plus wazawa wenyewe waache kubweteka.
 
Kumbe ukiachana na kuchakata papuchi kwenye mpira pia hum na uelewa nao big up.
Juzi nikasema niangalie mashindano ya under 20, ilikua game ya yanga sijui na timu gani nilivyowaona wale majibaba nikabadili channel haraka Sana, binafsi bongo youth program hatuko vizuri atleast azam wanakuja kuja.
😂😂😂😂😂Wee mbususu tamu.
Ah ye mashindnao ya u20 uhuni tuu...watu mijeba kabisa unaona.

Azam wanajitaidi sasa tunataka kuona more u20 wakiwa kwenye first timu. Ila msimu huu naona wameshusha wachezaji wa kigeni wengi
 
BONGO sijui tuna bahati mbaya niseme, hata hizi academy sioni impact yake kwa sana
Impact yake utazionaje wakati watu wanakutana wakati wa mashindano kaka? Pili age cheating ndio usiseme.
Sie tuliharibu mambo pale wakati wa ndungai kufuta michezo mashuleni...tulirudi nyuma miaka 20 kwa ile decision.
 
😂😂😂😂😂Wee mbususu tamu.
Ah ye mashindnao ya u20 uhuni tuu...watu mijeba kabisa unaona.

Azam wanajitaidi sasa tunataka kuona more u20 wakiwa kwenye first timu. Ila msimu huu naona wameshusha wachezaji wa kigeni wengi
😂😂 bongo figisu nyingi Sana kaona hatotoboa hata hiyo top four kaamua kuingia sokoni, msimu uliopita aliponea nag ya 3,..hapa bongo usipowekeza kimataifa nadhani ni ngumu sana kutoboa
 
😂😂 bongo figisu nyingi Sana kaona hatotoboa hata hiyo top four kaamua kuingia sokoni, msimu uliopita aliponea nag ya 3,..hapa bongo usipowekeza kimataifa nadhani ni ngumu sana kutoboa
Mie hii stoey ya azam kutokufanikia sababu kuu ikiwa figisu sikubaliani nayo.

Mbona msimu wa 2015/16 walioelekeshana na yanga vizuri tuu. Kuna wachezaji wa kigeni waliletwa pale azam unashangaa mbona quality ipo chini.

So leta quality players na uwe na management nzuri. Sio management ya kuuza wachezaji watano wa starting 11 kwa mkupuo. Upuuzi huo
 
NO DOUBT, UBORA WA LIGI YETU PIA UMECHANGIWA NA WACHEZAJI WA NJE

Wazawa baadhi yao hawajitumi na kuonesha ushindani na ndio maana leo usishangae unaweza kupanga first XI kwenye kikosi cha Simba au Yanga ukakuta wazawa wanaingia wawili hadi watano lakini wanobakia wote ni wachezaji wa kigeni
Sio baadhi yao
Wengi

Huwa unaona magoli anayofungwa Manura?
 
Mi naungana nawewe kwenye mkataba wa kinyonyaji wa Azam...TFF kupitia bodi ya ligi wangekua na channel yao inayorekodi mechi na kuwauzia Azam na makampuni mengine kama tunavyoona ...
Pale Rushwa ilitumika kubwa, maana ni kichaa pekee anaweza chukua ule Mkataba kwa haki za Matangazo
 
Kumbe nawe umeona. Hili ni tatizo kubwa sana. Huwezi kuruhusu timu kuleta wachezaji wa kigeni 12 alafu utegemee kupata timu ya taifa nzuri.

Tunasema kuwa wachezaji wetu waza wajitume, lakini ukweli ni kwamba hatujawekeza pesa kuwaendeleaza. Wee angalia mashindano ya u20 wanacheza mijibaba mikubwa kabisa. Hii ni kutokana na sie kutokuwekeza kwenye youth developement.

Chukulia tuu kwa wastan timu kama singia wachezaji wakigeni 8 uwalipe wastan wa $2000 per month. Hiyo ni million tako kasoro. Wachezaji wanne maanayake ni $8000 per month. Je ukiwekeza hiyo kwenye vijana chini ya umri wa 14 huwezi kupata quality players baada ya miaka kadhaa?

Tusizuie kabisa wachezaji wa kigeni lakini tupunguze idadi iwe mwisho watano basi. Hela nyingine iwekezwe kwenye youth developement. Tukiwa na mipango ya muda mrefu tutapata mafa ikio lakini kwa style ya sasa tutegemee taifa stars kuendelea kuwa kichwa cha mwedawazimu
Je wachezaji wetu wanajituma kiasi kwamba wanaweza pigania namba au weka bench wageni?
 
Nafikiri kutoza kodi kama mataifa mengine haiwezi kuwa muarobaini, kuwe tu na mpango mkakati juu ya kuvizishika na kuviibua vipaji vya wazawa plus wazawa wenyewe waache kubweteka.
Wazawa wenyewe ndo kina Mkude, Ngasa, Yondan, Bocco, ?
 
NO DOUBT, UBORA WA LIGI YETU PIA UMECHANGIWA NA WACHEZAJI WA NJE

Wazawa baadhi yao hawajitumi na kuonesha ushindani na ndio maana leo usishangae unaweza kupanga first XI kwenye kikosi cha Simba au Yanga ukakuta wazawa wanaingia wawili hadi watano lakini wanobakia wote ni wachezaji wa kigeni
Point kubwa sana hii lkn tisimsahau karia mafanikio yote haya yanapatikana ktk kipind chake
 
Kupunguza wachezaji wakigeni haiwezi kufanya ligi yetu kuwa bora wala kupata timu ya taifa bora...Hiki kisingizio cha wachezaji wakigeni kuwa wengi ndio kinasababisha kuwa na timu ya taifa mbovu ni hoja dhaifu sana..

Ili tuwe na timu ya taifa bora tunatakiwa tuwe na ligi za vijana bora za under 20 na under 17 pamoja kila timu inayoshiriki ligi kuu kuwa na academ za watoto

Tatzo letu wabongo tunapenda short kati ndio maana tunatumia kisingizia cha wachezaji wakigeni... hata ukiwaindoa wachezaji wa kigeni na ukaacha wachezaji wa kitanzania tu hatuwezi kufanikiwa kama hatuna mkakati bora wa kukuza vijana
 
Nafikiri hakuna sababu ya hizi Limitations juu ya foreign players, mana tunaweza kusema kila timu iruhusu mchezaji wa kigeni mmoja lakini bado tukashindwa kupata tunachokitaka, point muhimu kwa nionavyo mimi ni kwamba hizi timu zetu zijitahidi kuwa na academy halafu hapo hapo TFF itie mkono wake katika kuibua vipaji vya youth players pamoja na mpango mkakati imara wenye dhamira ya kuinua na kukuza vipaji pasi na udanganyifu mana unaeza kuta mchezaji anacheza U20 ila yuko above 24 [emoji23] lakini pia sio mbaya kama wakichukua somo kutoka katika timu na nchi zilizoendelea kiSoka.
 
Back
Top Bottom