Nafurahi kuzaliwa mwanaume, sifanyi kazi yoyote nyumbani zaidi ya kula, kulala na kusoma

Hao Dada zako wanakufulia na kukudekia??

Seriously!!!

Ungekua kaka angu tungegawana majukumu kwakweli
 
Nauhakika kwa hapo kwenu kuna wakati hizo huduma zitasimama.
Sasa kwa tahadhari hamia kwangu, huku hata hiyo kazi ya kunya hutaifanya maana ntakusaidia yawe yanatoka yenyewe tuu popote utakapokua.
mkuu msaidie mtoto bhana
 
hawa mods wamelala sana

au nao tuwafungie haiwezekani nyuzi kama hii bado inaishi adi saizi
 
Angalia ugonjwa wa "kisasa" tu usikupate ule wa akina Delicious, Jayden n.k....maana ukiwa lege lege lazima uwe mboga za watu tu..
 
Usije lalamika tu shemeji anamshika dada makalio mbele yako siku ukihamia kwa dada sawa
 

Aiseee...... kazi kweli kweli
 
duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…