Nafurahi kuzaliwa mwanaume, sifanyi kazi yoyote nyumbani zaidi ya kula, kulala na kusoma

Nafurahi kuzaliwa mwanaume, sifanyi kazi yoyote nyumbani zaidi ya kula, kulala na kusoma

Nafurahi kuzaliwa mwanaume kwa sababu nyumbani sifanyi kazi yoyote ile kazi zote wananifanyia dada zangu ,kuanzia kupika, kufanya usafi wa nyumba,kuosha vyombo, kunifulia nguo na kunisafishia geto langu na kunitandikia kitanda.

Mpaka chakula wananitengea na nikimaliza kula sitoi vyombo mimi mtoto wa kiume bwana nitatoaje vyombo wakati madada wapo.

Kazi yangu, kula, kulala,kunya, kuoga,kusoma na kutomb.aa basi.
Nauhakika kwa hapo kwenu kuna wakati hizo huduma zitasimama.
Sasa kwa tahadhari hamia kwangu, huku hata hiyo kazi ya kunya hutaifanya maana ntakusaidia yawe yanatoka yenyewe tuu popote utakapokua.
 
Nafurahi kuzaliwa mwanaume kwa sababu nyumbani sifanyi kazi yoyote ile kazi zote wananifanyia dada zangu ,kuanzia kupika, kufanya usafi wa nyumba,kuosha vyombo, kunifulia nguo na kunisafishia geto langu na kunitandikia kitanda.

Mpaka chakula wananitengea na nikimaliza kula sitoi vyombo mimi mtoto wa kiume bwana nitatoaje vyombo wakati madada wapo.

Kazi yangu, kula, kulala,kunya, kuoga,kusoma na kutomb.aa basi.
Safi sana anata Siku ukipata mke sisi tutakusaidia kumuhudumia tu.
 
Yani mtoto wa kiume umelalia kochi unaropoka hivi?
 
Vile kila kazi wanakufanyia dada zako, hata kutoa.mba unawatoa.mba wao?


Usimaindi.
 
Hapo kwenye kula, kilala , ndio upaangalie sana maana sio sifa ya mwanaume hiyo,
 
Nafurahi kuzaliwa mwanaume kwa sababu nyumbani sifanyi kazi yoyote ile kazi zote wananifanyia dada zangu ,kuanzia kupika, kufanya usafi wa nyumba,kuosha vyombo, kunifulia nguo na kunisafishia geto langu na kunitandikia kitanda.

Mpaka chakula wananitengea na nikimaliza kula sitoi vyombo mimi mtoto wa kiume bwana nitatoaje vyombo wakati madada wapo.

Kazi yangu, kula, kulala,kunya, kuoga,kusoma na kutomb.aa basi.

HII NI HASARA KWA MAMA YAKO.... PUMBA.VU KABISA
 
Huenda keshawadinya anaona soo kusema
Sasa mkuu mwanaume ambaye hajishughulishi na kazi yeyote na hainteract na watu wengine tofauti na Dada zake unafikiri anajua hata kutongoza?? It's obvious kuwa anawadinya dada zake[emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom