Nafurahi sana maaskofu wa KKKT wanavyowaumbua TEC

Nafurahi sana maaskofu wa KKKT wanavyowaumbua TEC

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndiyo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na Ask Shoo na Bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea mauaji aliyofanya Sabaya au Makonda zaidi ya kumsifia Makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya JPM kupitia kwa Kardinali Pengo.

Angalau kidogo Niwemugizi alikemea maovo ya JPM hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu Katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Wewe unachuki zako binafsi na kanisa KATOLIKI.

REJEA kipindi cha utawala wa Jiwe, usidhani Kanisa halina mifumo yake, Kuongea na kukemea kwa Askofu Niwemugizi ni sauti inayowakilisha kanisa Katoliki.

Siyo kila askofu au Padre ajitokeze kukemea bila uataratibu maalumu.

KKKT wamefanya vema, na ni wajibu wa kanisa kukemea maovu katika jamii.
 
Mbona una mambo mengi home boy, kwahiyo huyo Niwemuguzi ni wa KKT sio? Kwani hao KKT umetaja wangapi?Nina swali dogo kwako,Hivi unaposema Sabaya na Makonda walifanya mauaji unaweza nipatia ushahidi katika hili? Ni nani aliuliwa na hawa uliowataja na sehemu zipi?

Alafu ni lini ulisikia kanisa linapigania wapumbavu au imetajwa wapi kwenye vitabu vya dini kwamba mtume fulani au mtumishi wa Mungu aliwapigania wapumbavu?Ukweli ni kwamba mpumbavu kamanishiwa kiama toka mwanzo ndio maana unaona kanisa lipo kimya.
 
Wakatoliki wanatumia weledi wa hali ya juu katika kusema ukweli.
Kuna weledi katika kuua watu? Au wafe watu wangapi ndo huo weledi ujidhihirishe. Acheni kukalilishwa eti wanatumja weredi wakati ni washenzi tu. Kwanza ndo walisababisha mauaji ya kimbali rwanda halafu eti unasema weredi. Na ukumbuke mapadre na maaskofu wengi wa kanisa katoliki ni failures form six. Wanaopata div one na kwenda upadre huwa wachache sana.
 
Mbona una mambo mengi home boy, kwahiyo huyo Niwemuguzi ni wa KKT sio? Kwani hao KKT umetaja wangapi?Nina swali dogo kwako,Hivi unaposema Sabaya na Makonda walifanya mauaji unaweza nipatia ushahidi katika hili? Ni nani aliuliwa na hawa uliowataja na sehemu zipi?

Alafu ni lini ulisikia kanisa linapigania wapumbavu au imetajwa wapi kwenye vitabu vya dini kwamba mtume fulani au mtumishi wa Mungu aliwapigania wapumbavu?Ukweli ni kwamba mpumbavu kamanishiwa kiama toka mwanzo ndio maana unaona kanisa lipo kimya.
We ndo hamnazo kweli. Waumini ndo unawaita hamnazo. Sasa kanisani wanakuja kufanya nini kama mnawaita hamnazo
 
We ndo hamnazo kweli. Waumini ndo unawaita hamnazo. Sasa kanisani wanakuja kufanya nini kama mnawaita hamnazo
Waumini nimewataja wapi hapo ebu kuwa na adabu wewe mimi sio mtoto mwenzio. Ngoja nikusaidie nimewataja wapumbavu ambao ni watu wa taifa lako
 
Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Achana na Yule Kadinali Pengo Kada wa CCM
 
Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
KKKT = UJERUMANI=CHADEMA walisema zamu yao ya kutoa rais ilikuwa 2015 kupitia Lowassa-sasa unaweza kuelewa kwanini wao si kama wale wa TEC
 
Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Hivi wale ngungulu wenye mbaka meupe bado wapi?
 
Back
Top Bottom