Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Kichwa yako iko na tope kidogo!Amehukumiwa miaka 30 kwenda jela kwa mauaji. Au we hauishi tanzania.
Naona swali limekuwa gumu sana kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa yako iko na tope kidogo!Amehukumiwa miaka 30 kwenda jela kwa mauaji. Au we hauishi tanzania.
Akikujibu nijulishe.We sasa wa ajabu, hiyo hukumu ya hivyo imesomwa na mahakama ipi na lini?! Duh!
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.
Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Wee hujui Makonda alipigwa marufuku kwenda Marekani kwa mauaji? Hiyo ni kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamuSabaya na Makonda walifanya mauaji lini na wapi?
Ni akina nani waliouawa?
Weka majina tafadhali.
Wakati wa kupiga kura mbona huwa amuombi muongozo toka kanisani au msikitini kiongozi gani anafaa muweze kumpigia kura? Mambo yakiaribika mnaanza kupapasa wapi mwa kutupia lawama.Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.
Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndiyo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na Ask Shoo na Bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea mauaji aliyofanya Sabaya au Makonda zaidi ya kumsifia Makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya JPM kupitia kwa Kardinali Pengo.
Angalau kidogo Niwemugizi alikemea maovo ya JPM hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu Katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Aliwaua akina nani ?Wee hujui Makonda alipigwa marufuku kwenda Marekani kwa mauaji? Hiyo ni kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu
Ukweli TEC inamba mno sasa. Nilikuwa naongea na 'sister' mmoja leo kuwa kama Vatican ingefumba kama TEC basi Ukatoliki wa Roma ungesambaratika. Sasa hivi kuna baadhi ya sala tafsiri yake kwa Kilatini ni tofauti kabisa.Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndiyo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na Ask Shoo na Bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea mauaji aliyofanya Sabaya au Makonda zaidi ya kumsifia Makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya JPM kupitia kwa Kardinali Pengo.
Angalau kidogo Niwemugizi alikemea maovo ya JPM hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu Katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndiyo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na Ask Shoo na Bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea mauaji aliyofanya Sabaya au Makonda zaidi ya kumsifia Makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya JPM kupitia kwa Kardinali Pengo.
Angalau kidogo Niwemugizi alikemea maovo ya JPM hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu Katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka ze
Kanisa Katolik lina utaratibu wake sio kila Askofu ni msemaji wa KanisaMaaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndiyo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na Ask Shoo na Bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea mauaji aliyofanya Sabaya au Makonda zaidi ya kumsifia Makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya JPM kupitia kwa Kardinali Pengo.
Angalau kidogo Niwemugizi alikemea maovo ya JPM hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu Katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Mpumbavu mmoja wewe.. Mambo huku huenda kwa Hierakia sio kujiropokea kama sijui Bogonza huyo..Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndiyo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na Ask Shoo na Bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea mauaji aliyofanya Sabaya au Makonda zaidi ya kumsifia Makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya JPM kupitia kwa Kardinali Pengo.
Angalau kidogo Niwemugizi alikemea maovo ya JPM hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu Katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Ni kweli padri akizaa na sister itachukua miongo miwili au mitatu katoliki kuuweka wazi hayo mahusiano ya kingono.Wakatoliki wanatumia weledi wa hali ya juu katika kusema ukweli.
Duh mkuu, nadhani ni bahati mbaya, huku sikia vizuri, au huku soma vizuri. Sababu za Sabaya na wenzake kuhukumiwa miaka 30 gerezani. Hakimu alimtia hatiani Sabaya na we nzake kwa kosa la wizi kwa kutumia siraha.Amehukumiwa miaka 30 kwenda jela kwa mauaji. Au we hauishi tanzania.
Shehe alhad aliunga nini wakati maisha yake yote yupo kule?Kabisa Waliunga Mpaka Sheikh Alhad
Hujui Nini MkuuShehe alhad aliunga nini wakati maisha yake yote yupo kule?
Nenda sumbawanga utakuta gesti kabisa wametengenezewa inaitwa riboli centre, hiyo floor ya juu kabisa ni kwaajili ya mapadri kufanya yaoNi kweli padri akizaa na sister itachukua miongo miwili au mitatu katoliki kuuweka wazi hayo mahusiano ya kingono.