Nafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke

Nafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke

GREATHUGO

Member
Joined
Oct 27, 2018
Posts
6
Reaction score
4
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM

Karibuni Sana
 
Subiri uuziwe mbuzi kwenye gunia
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM

Karibuni Sana
 
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM

Karibuni Sana
Ndio ushamaliza hivyo mkuu???...hutaki chura weye na vigezo vingine vitam tam???
 
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM

Karibuni Sana
[emoji121]
NAUNGA MKONO HOJA!!!!

[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM

Karibuni Sana
Mbona umechelewa sana kuoa au ndo ulikua unaset mipango ?
 
Back
Top Bottom