Nafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke

Nafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke

Daah! Kila ninapoona siledi za kutafuta wachumba mitandaoni nakumbuka kademu kangu ka kichagga( Irene) nilikapataga "efubii" nilikatafuna mpaka kakashindwa simama kwenda kuoga ikabidi nikabebe mgongoni hadi bafuni then nikakaogesha...[emoji23] [emoji23]
So, komaa waweza bahatisha kama mie enzi hizo[emoji125] [emoji125]
Mdau sitaki kuonja asali nataka nichukue jumla mzinga nikae nao ndani naomba Mungu nipate mtu serious nipate Mke ninaeweza kumpenda na yeye akanijali na kuniheshim kama mume wake. Nakomaa Mdau.
 
Wadau niombeeni nipate mtu sahihi, wa mitaani(wa ana kwa ana) na wamtandaoni hawana tofauti ndoa nyingi zina shida na zimevunjika na sababu sio kwa sababu wamepata mtu mtandaoni ila hawakuwa na bahati ya kupata mtu sahihi. Nimependa nitafute mtandaoni kwa sababu najua nitapata mtu mwenye hitaji kama langu.
Duh kweli tunatofautiana, ongeza juhudi utapata
 
Dada zetu msaidieni mgeni huyo
 

Attachments

  • Screenshot_2018-10-29-01-11-31.png
    Screenshot_2018-10-29-01-11-31.png
    38.9 KB · Views: 64
Back
Top Bottom