- Thread starter
- #41
Mdau sitaki kuonja asali nataka nichukue jumla mzinga nikae nao ndani naomba Mungu nipate mtu serious nipate Mke ninaeweza kumpenda na yeye akanijali na kuniheshim kama mume wake. Nakomaa Mdau.Daah! Kila ninapoona siledi za kutafuta wachumba mitandaoni nakumbuka kademu kangu ka kichagga( Irene) nilikapataga "efubii" nilikatafuna mpaka kakashindwa simama kwenda kuoga ikabidi nikabebe mgongoni hadi bafuni then nikakaogesha...[emoji23] [emoji23]
So, komaa waweza bahatisha kama mie enzi hizo[emoji125] [emoji125]