Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Mapenzi ya dhati..basi[emoji4] We unaangalia vigezo vp sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi ya dhati..basi[emoji4] We unaangalia vigezo vp sasa?
[emoji4] Basi kama ni hivyo, Mimi nimekidhi vigezoMapenzi ya dhati..basi
Sasa kk, kwanini usitafute tu ana kwa ana!!!? Hii ya mtandaoni naona sio njia sahihi saaaana japo kuwa wapo waliofanikiwa kupata kwa njia hii lakini better ukatafuta kwa njia nyingineHabari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM
Karibuni Sana
Mwanamke anaeingia kwenye ndoa kwa sababu ya hivyo vigezo pekee hasara kubwa itakuwa kwa Mwanaume (Muoaji) kwa sababu atakuwa hajapata Mke mwema, maisha yanabadilika na majuto lazima yampate. Wakristo tunaoa mara moja tu.Aongeze tu...atawapata wanaoangalia ivyo vigezo
Ukweli mtupuMwanamke anaeingia kwenye ndoa kwa sababu ya hivyo vigezo pekee hasara kubwa itakuwa kwa Mwanaume (Muoaji) kwa sababu atakuwa hajapata Mke mwema, maisha yanabadilika na majuto lazima yampate. Wakristo tunaoa mara moja tu.
Karibu JF...Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM
Karibuni Sana
Njoo mamii utapata kwanguMapenzi ya dhati..basi
Mke/Mume ni 'maisha',sio kwa ajili ya 'show off' ili watu wajue nawe umeoa/umeolewa;nenda ana kwa ana ndio njia nzuri zaidiSasa kk, kwanini usitafute tu ana kwa ana!!!? Hii ya mtandaoni naona sio njia sahihi saaaana japo kuwa wapo waliofanikiwa kupata kwa njia hii lakini better ukatafuta kwa njia nyingine
Nimeipenda hiiMiaka 34 bado unapigana vikumbo na vijana wa miaka 23 kutafuta wanawake mitandaoni?
Hivi sisi wanaume wa dar tumewakosea nini???na we ni mwanaume wa dar?
Shoo utaweza kweli? ukipata wa mikoani wamezoea shoo za kibabe utaumbuka bro.Wadau siangalii chura awe mcha Mungu na tabia njema ninaeweza kumpenda tu akanijali inatosha.
Domo zegeUkistaajabu ya musa utayaona ya wabongo, miaka 34 anatafuta mchumba mitandaon
Bila shaka mkuu miaka 34Domo zege
Wadau niombeeni nipate mtu sahihi, wa mitaani(wa ana kwa ana) na wamtandaoni hawana tofauti ndoa nyingi zina shida na zimevunjika na sababu sio kwa sababu wamepata mtu mtandaoni ila hawakuwa na bahati ya kupata mtu sahihi. Nimependa nitafute mtandaoni kwa sababu najua nitapata mtu mwenye hitaji kama langu.Sasa kk, kwanini usitafute tu ana kwa ana!!!? Hii ya mtandaoni naona sio njia sahihi saaaana japo kuwa wapo waliofanikiwa kupata kwa njia hii lakini better ukatafuta kwa njia nyingine